HALELUYA! Amu aachiwa!!

HALELUYA! Amu aachiwa!!

one eyed snake...
mnyama si mnyama, mdudu si mdudu...
ana nywele mkiani badala ya kichwani...
ana matumbo mawili pia yapo mkiani...
akiguswa tu, anafura na kujinyoosha kisha kuwa mgumuuuu...
mwisho wa siku hasira zikimtoka anatema sumu, na kusinyaaaa kama mchicha kikaangoni.
. Umenishtua ujue.....
 
usijali mpenzi mimi nliwakilisha wana chit chat nikampelekea sabuni,matunda ameinjoi sana
pole sana kwa kuuguza,akipata nafuu mnaenda wapi recuperation?
Cc😡filipo
 
yani naomba unipokee mikono miwili tushirikiane tuwe wake wenza tumbane asiongeze wanawake wengine kumbuka umoja ni nguvu utengano udhaifu dada

ndio maana amu hamu haiishi utamu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom