Hakuna Rais aliyefikia hata robo ya viwango vya NYERERE

Hakuna Rais aliyefikia hata robo ya viwango vya NYERERE

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,146
Reaction score
48,388
Hawa ni Marais wa nchi tangu Tanzania ianzishwe

1. Julius Kambarage Nyerere 1965 - 1985 (miaka miaka 20)

2. Ali Hassan Mwinyi 1985 - 1995 (miaka 10)

3. Benjamini William Mkapa 1995-2005 ( miaka 10)

4. Jakaya Mrishi Kikwete 2005 - 2015 ( Miaka 10)

5. John Pombe Magufuli 2015 - 2021 (Miaka 5 na miezi 5)

6. Samia Suluhu Hassan 2021 hadi Sasa.

Kati ya hawa Marais hakuna rais hata mmoja aliyefikia viwango vyq Julius Kambarage Nyerere kwenye nyanja mbali mbali kuanzia uchumi, demokrasia, diplomasia, na maendeleo ya jamii.
 
Hawa ni Marais wa nchi tangu Tanzania ianzishwe

1. Julius Kambarage Nyerere 1965 - 1985 (miaka miaka 20)

2. Ali Hassan Mwinyi 1985 - 1995 (miaka 10)

3. Benjamini William Mkapa 1995-2005 ( miaka 10)

4. Jakaya Mrishi Kikwete 2005 - 2015 ( Miaka 10)

5. John Pombe Magufuli 2015 - 2021 (Miaka 5 na miezi 5)

6. Samia Suluhu Hassan 2021 hadi Sasa.

Kati ya hawa Marais hakuna rais hata mmoja aliyefikia viwango vyq Julius Kambarage Nyerere kwenye nyanja mbali mbali kuanzia uchumi, demokrasia, diplomasia, na maendeleo ya jamii.
Hata Nyerere mwenyewe hakufikia viwango vya Nyerere naye?
 
Hawa ni Marais wa nchi tangu Tanzania ianzishwe

1. Julius Kambarage Nyerere 1965 - 1985 (miaka miaka 20)

2. Ali Hassan Mwinyi 1985 - 1995 (miaka 10)

3. Benjamini William Mkapa 1995-2005 ( miaka 10)

4. Jakaya Mrishi Kikwete 2005 - 2015 ( Miaka 10)

5. John Pombe Magufuli 2015 - 2021 (Miaka 5 na miezi 5)

6. Samia Suluhu Hassan 2021 hadi Sasa.

Kati ya hawa Marais hakuna rais hata mmoja aliyefikia viwango vyq Julius Kambarage Nyerere kwenye nyanja mbali mbali kuanzia uchumi, demokrasia, diplomasia, na maendeleo ya jamii.
Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, anaendelea kuupiga mwingi kwa maslahi mapana ya waTanzania na kwa mujibu wa katiba bila kubabaika na records za wengine katika kazi gentleman.

kwasababu kila zama na kitabu chake 🐒
 
Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, anaendelea kuupiga mwingi kwa maslahi mapana ya waTanzania na kwa mujibu wa katiba bila kubabaika na records za wengine katika kazi gentleman.

kwasababu kila zama na kitabu chake 🐒
wewe tunakujua lazima uje ulivyokuja.Huna chguo kwa vile umeelekezwa kuwa hivi. kuna wengine unafanana nao siwataji
 
wewe tunakujua lazima uje ulivyokuja.Huna chguo kwa vile umeelekezwa kuwa hivi. kuna wengine unafanana nao siwataji
kiongozi mwanaume dhidi ya mwanaume mwenzake tu uongozini hawafanani kiutendaji, sembuse kiongozi mchapakazi mwananake gentleman?

sometimes tunafanya comperison nonsense sana gentleman 🐒
 
Unamjua JPM????
JPM ni miundombinu pekee.

Ila Nyerere, alikuwa:
  • NABII Muona mbali
  • Selfishless
  • Uchumi
  • Kuweka MSINGI madhubuti
  • Demokrasia
  • Utu
  • Maadili
  • Kulinda raslimali
  • Pro Unity


In short, TZ ilikuwa na bahati sana kuwa na Nyerere.

Baada ya Uhuru, tungekuwa na Rais Mchagga au Mhaya, TZ isingekuwa tofauti na CONGO ya sasa.
 
Hawa ni Marais wa nchi tangu Tanzania ianzishwe

1. Julius Kambarage Nyerere 1965 - 1985 (miaka miaka 20)

2. Ali Hassan Mwinyi 1985 - 1995 (miaka 10)

3. Benjamini William Mkapa 1995-2005 ( miaka 10)

4. Jakaya Mrishi Kikwete 2005 - 2015 ( Miaka 10)

5. John Pombe Magufuli 2015 - 2021 (Miaka 5 na miezi 5)

6. Samia Suluhu Hassan 2021 hadi Sasa.

Kati ya hawa Marais hakuna rais hata mmoja aliyefikia viwango vyq Julius Kambarage Nyerere kwenye nyanja mbali mbali kuanzia uchumi, demokrasia, diplomasia, na maendeleo ya jamii.
Swali ni JPM kafanya mangapi ndani ya miaka 5 na miezi 5 hadi akafariki??
Kwa miaka aliyokaa Kwenye Kiti Cha Uraisi JPM hakuna mfano Wake Huo ndio Ukweli ALIHESHIMISHA FEDHA HAPA NCHINI TULISAHAU JERO TUKAITA MIA 5
NA MASKINI HAWAKUNYANYASWA NA MATAJIRI NA VIONGOZI WALIJUA WAJIBU WAO KUTEKELEZA SABABU WALIMUOGOPA MAGUFULI KUWATUMBUA
 
JPM ni miundombinu pekee.

Ila Nyerere, alikuwa:
  • NABII Muona mbali
  • Selfishless
  • Uchumi
  • Kuweka MSINGI madhubuti
  • Demokrasia
  • Utu
  • Maadili
  • Kulinda raslimali


In short, TZ ilikuwa na bahati sana kuwa na Nyerere.

Baada ya Uhuru, tungekuwa na Rais Mchagga au Mhaya, TZ isingekuwa tofauti na CONGO ya sasa.
Uchumi alifanya nini?
 
Swali ni JPM kafanya mangapi ndani ya miaka 5 na miezi 5 hadi akafariki??
Kwa miaka aliyokaa Kwenye Kiti Cha Uraisi JPM hakuna mfano Wake Huo ndio Ukweli ALIHESHIMISHA FEDHA HAPA NCHINI TULISAHAU JERO TUKAITA MIA 5
NA MASKINI HAWAKUNYANYASWA NA MATAJIRI NA VIONGOZI WALIJUA WAJIBU WAO KUTEKELEZA SABABU WALIMUOGOPA MAGUFULI KUWATUMBUA
We ni zaidi ya mwehu
 
JPM ni miundombinu pekee.

Ila Nyerere, alikuwa:
  • NABII Muona mbali
  • Selfishless
  • Uchumi
  • Kuweka MSINGI madhubuti
  • Demokrasia
  • Utu
  • Maadili
  • Kulinda raslimali


In short, TZ ilikuwa na bahati sana kuwa na Nyerere.

Baada ya Uhuru, tungekuwa na Rais Mchagga au Mhaya, TZ isingekuwa tofauti na CONGO ya sasa.
JPM amejenga miundo mbinu ipi? Mbn mazombie hivyo? Hamuoni ht aibu?
 
Back
Top Bottom