Hakuna raha yoyote ya kuwa single

Hakuna raha yoyote ya kuwa single

Nini maana ya neno "single"

Kwa ufahamu wangu, najua yule mtu ambaye hayuko ktk ndoa, au uchumba.

Sasa hapa kunao wengine, hawako ktk hiyo situation, ila wako na wapenzi.
Je wee unazungumzia wepi?

Nweiii, niko single, but Ba tamu ninae, 😘😘
Single but taken au sio😄😅😂😂
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hakuna raha utakayoipata ukiwa huna mwenzako, Ila tu utajiandikia tiketi ya kuwa mpiga nyeto mashuhuri.

Ewe Kijana amka ukamtafute wa kufanana naye.
upweke ni utumwa mbaya sana aise :putinWalk:
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hakuna raha utakayoipata ukiwa huna mwenzako, Ila tu utajiandikia tiketi ya kuwa mpiga nyeto mashuhuri.

Ewe Kijana amka ukamtafute wa kufanana naye.
Hatujaumbiwa usingle ni kiburi tu😂
 
Back
Top Bottom