Hakuna raha yoyote ya kuwa single

Hakuna raha yoyote ya kuwa single

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hakuna raha utakayoipata ukiwa huna mwenzako, Ila tu utajiandikia tiketi ya kuwa mpiga nyeto mashuhuri.

Ewe Kijana amka ukamtafute wa kufanana naye.
Hapo kwenye salamu Ndio umeharibu
 
Nawakumbusha tuu ukifa ukiwa single tunakuzika kimila mwisho wa shamba halafu tunachukua mti au lile bomba tunaingiza hapo nyuma tunasema asitokee laana kama wewe NILIMSIKIA MLEVI MMOJA HUKO UCHAGANI NIMENUKUU
 
WALIOKO KWENYE NDOA WANATAMANI KUWA SINGLE

Wanalia na kusaga meno😤
Sema baadhi ya walio kwenye ndoa.

Wengine tunaenjoy tu, mimi sitamani kabisa kuwa single, Yani nirudi tena kwenye maisha ya kulala bila kukumbatiwa na kuamshwa na “cha asubuhi” hapana kabisa.
 
Being single is better than being a bad relationship/marriage.

Being in a good marriage is better than being single (for those who can't stay celibate).
 
Nini maana ya neno "single"

Kwa ufahamu wangu, najua yule mtu ambaye hayuko ktk ndoa, au uchumba.

Sasa hapa kunao wengine, hawako ktk hiyo situation, ila wako na wapenzi.
Je wee unazungumzia wepi?

Nweiii, niko single, but Ba tamu ninae, 😘😘
 
Kwa nyakati hizi ni ajabu kukuta mwanamke yupo single,ila si ajabu kukuta mwanaume yupo single.

Haya ni matokeo ya mifumo ya malezi ya kisasa ambayo imetengeneza mtazamo feki kuwa mwanamke awe nacho asiwe nacho ni tunu na mwanaume asiye nacho ni takataka na aliyenacho athaminiwe kwa anachimiliki.

Kwa mwanaume kukaa single kiroho na kimwili ni jambo takatifu sawa na mtu anae detoxify mwili kutoa taka mwili na kusafisha fikra zake na kujenga msingi mpya kwasababu mwanaume amepewa mafungu 70 (miaka kumi kumi) kuyaanza upya maisha yake kama atatuliza kichwa chake na kuzungumza vema na muumba wake.

Kinyume chake mwanamke kukaa single haina faida na ni uelekeo wa kufeli uwiano wake ni kama vile nguo inayokimbiza trend kwenye fashion kuwekwa kabatini hadi fasheni yake ipite. Fasheni ikipita hiyo nguo haitakuwa na thamani tena mbele ya macho ya wanunuzi kwasababu watavaaje nguo iliyo nje ya fasheni na trends,wachekwe?

Imagine mwanamke akae single akijitafuta na uchumi wa kati akamiliki nyumba,gari,na biashara,halafu awe bikra. Wewe mwanaume wa miaka 40 mwenye uwezo na mali zako ukaletewa huyo mwanamke wa miaka 35 mwenye mafanikio na ni bikra na pembeni ukaletewa binti wa miaka 23 bikra na mwenye maadili na heshima na mafunzo ya kuishi na mume na anatoka familia yenye heshima,utachukua yupi?🤔


So, mwanamke kuishi akiwa single ni kupoteza muda na mwanaume kuishi akiwa single ni kujiongezea thamani. Mwanamke olewa na Jenga familia katika umri sahihi (miaka 16 hadi 26) hiyo ndio wife material deadline. Chini ya hapo si sawa juu ya hapo ni bahati nasibu.

Mwanamke kuigizia kuwa single ni kubet na future yako.

Je ukishawahi kusikia nikihadithia kile kisa cha muuza nyanya aliyekuwa akiringa akiwaiga wauza nazi,akasahau kuwa nyanya ya leo si sawa na nyanya ya kesho kwa ubora wakati nazi ya leo na ya mwezi ujao hazina tofauti ya ubora.

Tuishi kwa kuzifuata Hekima na sio kutengeneza mifumo yetu nje ya hekima
 
Walioko ndani wanatamani kutoka nje na walioko nje wanatamani kuingia ndani.
 
Nawakumbusha tuu ukifa ukiwa single tunakuzika kimila mwisho wa shamba halafu tunachukua mti au lile bomba tunaingiza hapo nyuma tunasema asitokee laana kama wewe NILIMSIKIA MLEVI MMOJA HUKO UCHAGANI NIMENUKUU
Nilikuta Kwa wasukuma ukifa singo alafu huna hata mtoto wanakuzika hadi na godoro ulilokua unalalia na matakataka yako yote hadi nguo
 
Back
Top Bottom