Hakuna raha yoyote ya kuwa single

Hakuna raha yoyote ya kuwa single

Nilikuta Kwa wasukuma ukifa singo alafu huna hata mtoto wanakuzika hadi na godoro ulilokua unalalia na matakataka yako yote hadi nguo
Hii ndio Fundisho vijana hawataki kuoa mimi nataka nivute jiko tuu
 
Usitafute mpenzi mtandaoni mkuu,nimejifunza mengi sana ....hii siyo njia salama mkuu
Fungua uzi basi dear tupate mawili matatu juu ya hayo mahusiano ya online

Mimi nilikutana na rafiki tukakuza urafiki tukawa mahusiano mpk uchumba hakuwa ridhiki akakufwa
 
Fungua uzi basi dear tupate mawili matatu juu ya hayo mahusiano ya online

Mimi nilikutana na rafiki tukakuza urafiki tukawa mahusiano mpk uchumba hakuwa ridhiki akakufwa
Huwa ni hivyohivyo,unapopata mtu humu unamuamini lakini kumbe amekuja kukuchora kukujua kiundani....then akufungulie thread au a reply comment yako vile ajisikiavyo....kuwa makini
 
Aaah wapi kuumizana kwenye mapenzi ni kawaida, Ila kuwa single kunauma zaidi.

Hakuna kitu kizuri hapa duniani kama kumpata wa kufanana naye.
Ni kweli na nakutakia Kila la kheri love is beautiful but it hurts most
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hakuna raha utakayoipata ukiwa huna mwenzako, Ila tu utajiandikia tiketi ya kuwa mpiga nyeto mashuhuri.

Ewe Kijana amka ukamtafute wa kufanana naye.
Ipo kubwa sana
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hakuna raha utakayoipata ukiwa huna mwenzako, Ila tu utajiandikia tiketi ya kuwa mpiga nyeto mashuhuri.

Ewe Kijana amka ukamtafute wa kufanana naye.
Pole sana kijana inaonekana umetoka kuumizwa
 
Back
Top Bottom