Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

mkuu. ngoja nikuibiee siri wabaya wanalinga kwa sababu wana competion kubwa yaani wanatongozwa sanaa .kuliko wazurii ..wanaume wengi huwa wanatabia ya kujishtukia na kuhofu kuwa watapigwa vibutii na kujijazia sababu kedekede za kujiogopesha kama ..aaahh huyo ni classic, aah sina hela. aa siyo hadhi yangu... Kwa kumalizia wanawake wazuri ni wepesi sana kwa sababu wanatongozwa mara chache sana.. angalia hata vyuoni uta prove.. Mfano mwingine haujawahi kukutana na mwanamke mzuri ukampenda ila ukaogopa ukaambulia kumsindikiza tu kwa macho..
Mzuri me Simuachi na hata nikimsindikiza basi soon ataliwa
 
Utafiti hupingwa kwa utafiti na kwa utafiti niliiufanya kwa miaka Kama 4 hivi ni kwamba Wasichana wazuri wananafasi kubwa ya kufika elimu ya juu(university)
 
Mbona kuna wadada wazuri tena WANATUMBUA Majipu huko serikalini kama hawana akili nzuri au umejisahaulisha ndugu! Sitaki kuwataja kwa majina lakini wapo wanawapa watu jamba-jamba kikaoni Fa Mchezo nini!!! Karudie utafiti
 
Ideally labda inatakiwa iwe hivyo lakini in actuality haiko hivyo kabisa.

Hivi unadhani kukiwa na hafla sehemu halafu kwenye waalikwa wakawemo Ngozi Okonjo-Iweala, Wema Sepetu, Kidoti, Linda Express, Missy Temeke, Anna Tibaijuka, Muke ya Muzungu, Pindi Chana, Juliana Shonza, Dina Marios, Isha Mashauzi, Khanifa Maulid, na Jokha Kassim......

Nani kati ya hao unadhani ata turn heads na kuombwa namba ya simu?
dah.............
so uanamke ni bidhaa sasa ambayo inapaswa kuongezewa thaman ama??
Hivi NN iko wapi tofauti kati ya bidhaa zingine na kuwa mwanamke??
mmh..........poor me!!!
 
Nenda UDSM, anzia UDBS, pitia acturial science, pita kitivo cha sheria pale, nenda COET, rudia hapa juu kidogo karibu na nkhuruma hall (COICT) afu usije ukachoka sana kwa kutembea malizia COSS.

Baada ya safari hiyo nenda Muhimbili, Tax institute pale mikocheni, ila iwe ni baada ya kupitia Ardhi University kwanza, ukijiisi unaanza kuchoka kimbia IFM pale posta ukamalizie utafiti. Afu urudi hapa JF kutupa mrejesho.

NB: pia kuna Bugando, KCMC, mzumbe na UDOM
UDBS ,COSS (Socialogy) pale kuna visu vikali ila sema n wa bata wangetunza ule uzuri ungewapa faida baadae
 
In real life ni wachache sana wanaothamini uzuri wa akili na tabia.

Watu wanavutiwa zaidi na visuals na ndo maana unaona kuna cosmetic surgeries, wonderbras, bootypads, lipstick, etc.

Ass, titties, hips, thick lips, fake hair, eyebrows, etc., ndo vinavutia machoni mwa watu.

Sapiosexuality just ain't that sexy.
Always un-pointless...ni sawa kabisa kiongozi you said it all....
 
Nenda UDSM, anzia UDBS, pitia acturial science, pita kitivo cha sheria pale, nenda COET, rudia hapa juu kidogo karibu na nkhuruma hall (COICT) afu usije ukachoka sana kwa kutembea malizia COSS.

Baada ya safari hiyo nenda Muhimbili, Tax institute pale mikocheni, ila iwe ni baada ya kupitia Ardhi University kwanza, ukijiisi unaanza kuchoka kimbia IFM pale posta ukamalizie utafiti. Afu urudi hapa JF kutupa mrejesho.

NB: pia kuna Bugando, KCMC, mzumbe na UDOM
mbona hujaweka sua mkuu
 
dah.............
so uanamke ni bidhaa sasa ambayo inapaswa kuongezewa thaman ama??
Hivi NN iko wapi tofauti kati ya bidhaa zingine na kuwa mwanamke??
mmh..........poor me!!!

Hahahaa...pole.

Siyo mimi niliyeanzisha hayo mambo ya sexual objectification of women.

Mimi najitahidi tu kuwa objective observer.

Na kwa bahati mbaya, wanawake wenyewe ndo wako mstari wa mbele kwenye kuji-objectify.
 
Mleta mada upeo wako mdogo sana, wapo wazuri na wana phd, na ukizungumza nae utagundua hiyo phd ni halali yake, inategemea na malezi aliyokulia, nahajisikii kuwa ni wazuri,
Wengi hawafiki mbali mkuu
 
Wapo watoto wazuri na PhD zao za Biology. Yupo mdada mwanamuziki Nguli nchini wanamuita Shisha beibi pia jack wiper.
 
Back
Top Bottom