aliyokwambia dada mangi ni kweli mtupu, awali hiyo kazi ya kugonga nje ya ndoa ilikuwa zaidi ya wanaume, wanawake tukawa wapole tukisubiri labda mtajirekebisha, miaka imeenda hali iko pale pale na imezidi kuwa mbaya kiasi kwamba baadhiya waume zetu wameamua hata kutembea na 'mashoga':embarassed2: tulipofika hapo tumeona imetosha, yaani bhaaaaasssss... na sisi tumefungulia siku hizi tunagongwa nje ya ndoa kwa kwenda mbele tuone wenzetu ambacho mmekuwa mkifaidi miaka yooote hiyo hata mnashindwa kutulizana na wake zenu warembo majumbani... sio siri tunagongwa jamani... hata wewe mwanaume unaesoma hii post mchunguze vema mkeo utagundua nae anagongwa vilevile ndio maana ngumi zimepungua sana majumbani ck hizi hatuna wivu kama zamani maana na sie tunafanya kama nyie, kwa ufupi ngoma droo... hakuna kuibiwa tena ni kuibiana kwa kwenda mbele...khabari ndo hiyo kakangu:biggrin::tongue::tongue: take eazy.....