Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 485
Ehh pombe eee ona jamaa anavyo ropoka :biggrin:
Bora niropoke kuliko kuwa na akili mgando!
Ehh pombe eee ona jamaa anavyo ropoka :biggrin:
UKWEP N KWAMBA YEY ALICEMA HVO BAADA YA KULEWA VIROBA ULIVOMPA OFA
NA VLVL ALCEMA HIVO KWA7b YY NA MABEST ZAKE WOTE WAHUNI
MBONA WANGU SAFII2......
UKIKAA NA WALEV WATAKWA MBA YA KLEV2 NA OLE WAKO UNGEENDELEA KUKAA.NAE ANGECEMA HATA MKEO YUMO IL UZD KUTOA OFA-WALEV WASHENZ SANA
Lakini hatuko bar :biggrin:Bora niropoke kuliko kuwa na akili mgando!
Jana mida ya jioni kama kawaida nilitoka kuelekea hapo contena kwa mangi...... huwa tunahudumiwaga na dada yake mangi ambaye alikuja mjini siku nyingi na toka aje shughuli zake zimekua ni kuhudumia baa mbalimbali na maarufu hapa mjini.
Huyu dada ni rafiki ya wanaume wengi walioko kwenye ndoa maana huwa anajua mambo mengi na anatusaidia kuondoa stresi kwa utani na masihara yake.
Kama kawaida nilipofika tu akaniletea kesto yangu baridi na yeye akavutakiti akakaa pembeni na kuanza kunipaumbea kwa yaliyotokea mtaani kwa wiki nzima.....Ila kuna kipengele kilinishtua sana.
Naomba nimnukuu hicho kipengele.... '' Unajua baba... sisi wanawake ni wadhaifu sana.....nina uakika katika wanawake 100 labda ni mmoja tu ndio atakua hajatoka nje ya ndoa'' mwisho wa kunukuu.
Baada ya kumbishia..akaanza kunipa data za uzoefu wake na wateja mbalimbali na hata wakeza watu wanaogongwa na vijana hapo mtaani....jasho lilinitoka sana... nikamkatiza isijeikawa na wangu yuko kwene list....nilinyanyuka na kumuaga, ila kwa kweli usiku nimelala natafakari aliyoniambia bado simuamini..ila mwenye kujua hili ebu nifungueni akili nini kinaendelea kwa wake zetu jamini.
Lakini hatuko bar :biggrin:
Mjinga wakwanza wewe. akili zako hazifiki hata mb 200.Milevi yote ni mijinga tu :biggrin:
Nilijua takutana nao walio zipiga pombe za mchana mchana 😛oaMjinga wakwanza wewe. akili zako hazifiki hata mb 200.
Nilijua takutana nao walio zipiga pombe za mchana mchana 😛oa
Hahaha yani mimi mjinga akinitukana namuona mjinga tu 😛oaYaani mi nlikuwa nakustahi tu No fear kakumaliza! Teh teh teh! yaani akili yako haifikii hata mb 200!
Yaani mi nlikuwa nakustahi tu No fear kakumaliza! Teh teh teh! yaani akili yako haifikii hata mb 200!
Wacha utani Man hili chama ni kubwa! Karibu kundini tuendelee kutoa ajira bana!Hahaha yani mimi mjinga akinitukana namuona mjinga tu 😛oa
Nilijua walevi nikikutana nao, lazima watanipotezea time yangu 😛oaWacha utani Man hili chama ni kubwa! Karibu kundini tuendelee kutoa ajira bana!
Kwaiyo ngoma droo! No more discussion.Hata upande wa pili wa shilingi ni hivyo hivyo
Kwaiyo ngoma droo! No more discussion.
Nimekuita mjinga wa kwanza kwa sababu mjinga wa mwisho ana afadhali, wewe ungekuwa na akili japo ya 1 GB ingekupa fursa ya kuelewa kwamba Nchii inaendeshwa na walevi, tukifunga viwanda vya vileo na sigara nchi inafirisika halafu anatokea mwehu kama wewe unakuja kuwabeza Economic boosters?Nilijua walevi nikikutana nao, lazima watanipotezea time yangu 😛oa
Nilijua walevi nikikutana nao, lazima watanipotezea time yangu 😛oa
Mi mchagga na hiyo ndo accent yangu...sasa mbona umeelewa.Ivi mtu unakuwa na haraka gani kuandika mpaka uandike "Nye" ya ndoa?? Sasa kuna uhusiano gani kati ya Y na J? Kwanza hata hazipo karibu, iwe kwenye pc au kwemye simu. Au unakuwa umekariri statement??
Nimeshtuka nilidhani ni utafiti wa kisayansi kumbe ni wa Bar maid tena anaye hudumia Kwenye Kontena?