Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 485
Ndo mlivyo walevi si walaumu watu wameisha wazoweya majumbani kwenu shida tupu mtaishia kuropoka tu, wake zenu mnawashakia sababu mnajua hamuwezi kuwatimizia haja zao....watoto zenu wakiomba pesa, mnawanyima na matusi juu, yani mnathamini pombe kuliko family zenu :biggrin:
Kwenye red sijakuelewa!
Bold black = Hatuandai watoto wetu kuwa ombaomba!
Matusi ni nini hicho. Sijui una maana gani as sijui nini maana ya Matusi!