Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
na yeye akavutakiti akakaa pembeni na kuanza kunipaumbea kwa yaliyotokea mtaani kwa wiki nzima.....
Naomba nimnukuu hicho kipengele.... '' Unajua baba... sisi wanawake ni wadhaifu sana.....nina uakika katika wanawake 100 labda ni mmoja tu ndio atakua hajatoka nje ya ndoa''
Hap kwenye red kweli umenishangaza, mwanaume na umbea wapi na wapi? Hapo blue hapo alikuwa anaongelea wanawake wa aina yake, I mean wahudumu wa bar na sio wanawake wote
Hii thread imewagonga wengi, wanawake wengi wanatoka nje ya ndoa kuliko unavyofikiri. Wapo wanawake waaminifu ila asilimia kubwa wanagongwa nje ya ndoa
Uliona wapi barmaid akawa mwanamke wa mana!
Na uliona wapi mlevi akawa mtu wa mana, angekuwa wa mana asinge enda nunua ujinga, hebu nieleze ulevi una faida gani?
We nadhani unaota kufananisha barmaid na wake zetu, angekuwa mwanamke wa busara asinge sogea hata siku moja kufanya kazi pale wako walevi...Sehemu ya walevi ni sehemu ya vichaa tu utasikia matusi, makelele, ugomvi, malaya wanaenda jiuza sa sehemu kama hizo ni kweli mtu ana akili yake atazisogelea? We sababu hazikutoshi ndo mana unaona kwenda bar na kulewa sawa.
We kama una akili kama unavyo dai, hebu niambie toka umenza kulewa umepata faida gani, zaidi ya kuzipoteza pesa zako.
Mwanamke ambaye ana heshima zake hawezi enda sehemu za walevi hata siku moja, hata kama kakosa chakula cha kulisha wanae, mana pale atapapaswa ******, atatongozwa yani atafanyiwa dharau za kila aina mana pale hata mwanaume anaweza kutoa u b o wake, akamuambia njoo unyonye hapa :biggrin:
Usitukane wakunga