Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Ni mwendo wa kuviziana tu!
Sana yaan atakaezembea imekula kwake. Nilishajifanyaga kutongoza demu kwa kujilizalizA..akasema huna lolote najua hunipendi ila unataka unifyeke upite vile so kama vipi njoo nikupe usepe. Nikaenda kupewa kweli na hela nikapunwa. Wanawake wajanjawajanja tu.
 
Sana yaan atakaezembea imekula kwake. Nilishajifanyaga kutongoza demu kwa kujilizalizA..akasema huna lolote najua hunipendi ila unataka unifyeke upite vile so kama vipi njoo nikupe usepe. Nikaenda kupewa kweli na hela nikapunwa. Wanawake wajanjawajanja tu.
Polee uwii nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣
 
Polee uwii nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄😄We acha tu sahizi hakuna cha bure kiukweli. Mwanamke ukimuita tu anajua hii hela na hata mwanaume akiita mwanamke ujue ashatenga pesa yakupunwa. Yaan unamuita mtu aje kula hela zko. Mwanaume kama hula hela bora kutumia njia ya asili tu aliyokuwa anatumia mzee wetu Adam kabla ya kuumbwa kwa Hawa.
 
😄😄😄😄We acha tu sahizi hakuna cha bure kiukweli. Mwanamke ukimuita tu anajua hii hela na hata mwanaume akiita mwanamke ujue ashatenga pesa yakupunwa. Yaan unamuita mtu aje kula hela zko. Mwanaume kama hula hela bora kutumia njia ya asili tu aliyokuwa anatumia mzee wetu Adam kabla ya kuumbwa kw
Kupiga mgalala au?
 
Umekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako.

Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio kabla hujavuliwa chupi unauliza una shingapi tayari umeiuza hiyo bidhaa yako.
 
Hata mama yako ni mwanamke pia, kumbuka hilo😎
Wakuu, naomba kujenga hoja.

Je, kwani wale wanawake wanaojiuza hawawezi kuwa mama zetu? 🤔
Au wakuu mnataka kusema kwamba "wakijiuza na uwezo wao wa kuzaa huwa unaisha?"

Holoholo naomba nishauri kitu hapa .. Tukiandika mada za namna hii tunahitaji tafakuri ya kina sana kwakuwa ukishasema "WOTE" ni pamoja na mama zetu na Dada zetu
Amini nakwambia hawa the so called wanaojiuza, hawa pia ni mama, dada, shangazi za watu (zetu).

Na sisi wanunuaji pia ni baba, kaka, wajomba za watu (zetu)

Hivyo, siyo kwamba sisi na dada zetu, mama zetu, shangazi zetu, binti zetu, baba zetu, kaka zetu, n.k tupo "clean" saaaaaaaaana, ukweli ni kwamba kila mtu anajijua yeye mwenyewe, tusiteteane kisa ni ndugu.
 
Yeah yeah yeah, very true
 
Back
Top Bottom