VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 8,925
- 14,123
Labda kweli kumbe ilishaingia na haujasema?Labda nina mimba changa tutajuaje!!
Labda kweli kumbe ilishaingia na haujasema?Labda nina mimba changa tutajuaje!!
Niseme kwako?Labda kweli kumbe ilishaingia na haujasema?
Kwa hio mimba nimekutia mimi? Aah emu punguza kidogoNiseme kwako?
Kweli wewe una kichaa!Kwa hio mimba nimekutia mimi? Aah emu punguza kidogo
Kumbukumbu zangu zinaniambia hivyoKweli wewe una kichaa!
wewe si ulimwambia unaweza kwenda out na usitumie "pesa" yake.Hana hiyo pesa ya kunitoa out huyo kenge, unampa ujeuri bure tu!
kwakweli kama atakuja kwa style hiyo nitamuacha mdomo wazi!! Asinijaribu😅wewe si ulimwambia unaweza kwenda out na usitumie "pesa" yake.
Yeye akajibu "huo ni uongo" that means anataka a-prove kama kweli ni wewe Miss Independent.
Au Mr. VERBOSE nimekosea?
Ndoa zenyewe mnazowatishia nazo watu sasa🤢🚮Kumbukumbu zangu zinaniambia hivyo
Umekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako.
Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio kabla hujavuliwa chupi unauliza una shingapi tayari umeiuza hiyo bidhaa yako
Ndoa ni ipo tu haikimbiliki hayo magari utayaendesha mpaka uchokeNdoa zenyewe mnazowatoshia watu sasa🤢🚮View attachment 3559401
Huyo manzi yupo kazini hapo, usiniulize kazi gani?
Familia unaihongaje yaan wewe unaanza kumhonga Baba yako?Hakuna mwanamme ambaye hajawahi kuhonga familia yake?
Ukweli post nyingine sioni hata zikiwa na umuhimu wa kujadiliwa, kama hiyo ya kawako na hii
Nime-change gear sasa unajua natembelea namba ngapi?kwakweli kama atakuja kwa style hiyo nitamuacha mdomo wazi!! Asinijaribu😅
Niolewe ili nikanyanyaswe, my friend ntakuchomea ndani😀Ndoa ni ipo tu haikimbiliki hayo magari utayaendesha mpaka uchoke
Nami naitafuta hii kazi kama inalipa!Huyo manzi yupo kazini hapo, usiniulize kazi gani?
Nitajuaje? Nakupokea utakavyokuja!Nime-change gear sasa unajua natembelea namba ngapi?
Hapo ndani ukichomea ni mimba nyingine inaingia moja kwa moja bila kuulizaNiolewe ili nikanyanyaswe, my friend ntakuchomea ndani😀
Kuogesha vizee vya kizungu na kuvifanyia massageNami naitafuta hii kazi kama inalipa!