Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 12,110
- 35,914
16/17Miaka gani ulikua kule?
16/17Miaka gani ulikua kule?
Hahahaa! Ila wanaume mnatofautiana! Kuna watu ukiwa fake ndio utamuenjoy sana! Na kuna watu ukiwa real utaenjoy sana!Hiyo "High expectations" high self esteem ndio mara nyingi inawafanya mnaonekana hamna uhalisia, mna hila, na kupelekea msieleweke. Ukiwa halisi, utaeleweka tuu na mrija utakufikia. Utakula pesa ya mwanaume kwa muda mrefu na bila purukushani. Una mahitaji yako halisi yaseme kwa uhalisia wake. Sio uongeze sifuri mbele.
Kama ni miaka hiyo bas hamna mabadiliko makubwa kiivo.16/17
Wewe ulikuwa miaka ipi?Kama ni miaka hiyo bas hamna mabadiliko makubwa kiivo.
Wa nchi jirani..mkuu, kwa hiyo ulitaka awe dada au mama wa nani? Sorry!
Hahahaa! Ila wanaume mnatofautiana! Kuna watu ukiwa fake ndio utamuenjoy sana! Na kuna watu ukiwa real utaenjoy sana!
Mi hua naenda mara kwa mara kwa mwaka hata mara mbili au tatu.Wewe ulikuwa miaka ipi?
Ni kweli lakini na muigizaji anakuwa kashapewa chake, its a win-win situation 🤗Hiyo "fake" waga ni ya muda mfupi, kijamaa kikitimiza haja kinakata mrija, maigizo yanakokimbiza. Kumbuka hilo.
Anyway! Cheza ki wewe.. 😁
Ohh hapo sawa! Kitambo sana nitajitahidi siku zijazo nipatembelee aisee!Mi hua naenda mara kwa mara kwa mwaka hata mara mbili au tatu.
Sawa, nimekuelewa.Ni kweli lakini na muigizaji anakuwa kashapewa chake, its a win-win situation 🤗
Karibu sana Shemeji!Ohh hapo sawa! Kitambo sana nitajitahidi siku zijazo nipatembelee aisee!
Sio wote mkuuUmekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako.
Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio kabla hujavuliwa chupi unauliza una shingapi tayari umeiuza hiyo bidhaa yako.
Shemeji? Kwa nani mbona hatuambizani mkuu😃Karibu sana Shemeji!
Kwa yule Jamaa wa TBL anaepiga kinywaji muda wote.Shemeji? Kwa nani mbona hatuambizani mkuu😃
kwa hiyo?Hata mama yako ni mwanamke pia, kumbuka hilo
Mi sijaolewa mkuu😃Kwa yule Jamaa wa TBL anaepiga kinywaji muda wote.