Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’



Umesema kweli mkuu ila ndo jina lililopewa' Kumuhudumia mwanamke'.
😀 kwamba yanatafutwa majina mazuri ili kuficha ukali wa maneno, ila maana inabakia ile ile.


NB: ukimpenda mwanamke (possible future life partner), kama hana pesa, sio mbaya we mpe tu kiasi unachomudu, sharing is caring, caring is loving.
 
Siku hizi hakuna penzi la bure, labda kwa mishangazi yenye hela zao kutongoza vijana wadogo wakawashughulikie. Ukiwa na visenti vyako kama hutajisikia kutoa ugwadu utabaki nazo tu
 
Umekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako.

Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio kabla hujavuliwa chupi unauliza una shingapi tayari umeiuza hiyo bidhaa yako.

Sio Kila mwanamke maskini Mkuu
Itakuwa umezoea kukutana na wanawek fukara Ombaomba. Hao ndio wanajiuza.

Lakini wenye vipato na waliozoea pesa. Ukimpa pesa anaweza kukuacha kwa sababu hizo kwake atazihesabu kama dharau.

Pesa mnashare wote. Unatumia zake na yeye anatumia zako. Hao ndio wanawake unaotakiwa ukutane nao. Sio uliowaelezea hapa
 
Ishu sio uchumi, ishu ni ile hali ya mwanamke kutaka kukukomoa bila sababu ya msingi, mwanamke kumpa pesa ni kawaida, kumnunulia chakula ni kawaida ila asikuigizie au kuwa na hila. Mwanamke atahitaji kula, tunachokataa sisi ni ile hila ya mwanamke kutaka pesa zitumike kwa israfu, kukukomoa au bila sababu ya msingi au kutaka kukuibia kinamna bila hata uhalisia.
Mfano jana mimi nilikuwa mitaa ya DDC Mlimani park, mwanamke wangu amekuja nisalimia anatokea Kinondoni Hananasif, na ana gari yake. Amekuja tumepiga makange na geji ya mafuta ipo chini, bila kuomba nikamuongezea mafuta kiduchu ya 30k karidhika, karidhika jioni karudi home. Tunachokataa sisi ni ile "njama" baadhi ya wanawake wanawake wanatuletea. Manipulative behaviour zinaonekana tuu, wanaume sio wajinga.

Hao ni wanawake maskini Mkuu
 
Sio Kila mwanamke maskini Mkuu
Itakuwa umezoea kukutana na wanawek fukara Ombaomba. Hao ndio wanajiuza.

Lakini wenye vipato na waliozoea pesa. Ukimpa pesa anaweza kukuacha kwa sababu hizo kwake atazihesabu kama dharau.

Pesa mnashare wote. Unatumia zake na yeye anatumia zako. Hao ndio wanawake unaotakiwa ukutane nao. Sio uliowaelezea hapa
👏
 
Mshenzi tu huyo stress zinamuua taratibu🚮
Mkuu VERBOSE, naona Seran kashtuka kwamba ulimtega ili ajikwae.

Hebu ngoja nijaribu kuendeleza conversation yenu trying to predict, how it would have ended up:-
👇🏽

Seran: binafsi naweza kuja na nisile wala nisiombe mia yako.

Verbose: huo ni uongo, sio kweli.

Seran: ni kweli, ina maana huamini?

Verbose: ndiyo, mimi siamini.

Seran: basi sema, nifanyaje ili uamini?

Verbose: labda tupange siku twende "outing" pamoja ili nihakikishe kama kweli.

Seran: mmmmh! Jamani, outing tena?

Verbose: pick a day, time & a place, ili nkutoe out.

Seran: _________
Verbose: ________
 
Mkuu VERBOSE, naona Seran kashtuka kwamba ulimtega ili ajikwae.

Hebu ngoja nijaribu kuendeleza conversation yenu trying to predict, how it would have ended up:-
👇🏽
Verbose: huo ni uongo, sio kweli
Seran: ni kweli, ina maana huamini?
Verbose: ndiyo, mimi siamini.
Seran: nifanyaje ili uamini?
Verbose: labda tupange siku twende "outing" pamoja ili nihakikishe.
Seran: mmmmh! Outing tena?
Verbose: _______
Seran: _________
Kwahiyo veibozi anamalizoa : yes outing bibie

Then

Serani: No haiwezekani babue
 
Back
Top Bottom