Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Mwanamke akija kwako low key unamdharau na kumuona cheap, kwahiyo slay queen ametake over ili usimdispise! Mwanamke akija na high class look na mindset ana expect vitu vikubwa kutoka kwako!! Sio kukukomoa tu!

Huyo mwanamke wako tayari atakuwa anamaanisha na anajua wewe ni mwanaume wake na wala hana njaa za kishamba na ndiomaana anaridhika kuwekewa mafuta ya 30k, kuna watu kukuheshimu labda umuwekee full tank! Kwahiyo kila mtu ana vipaumbele vyake! Japo kwa hali ya kawaida kama mna mutual connection,feelings wala hakuna ukomoaji, binafsi naweza kuja na nisile wala nisiombe mia yako, inategemea kama unajikuta kwakweli nakukomoa vzr tu, asante..
Shida wanaume wengine ukiwakomoa na wewe jiandae kukomolewa
 
Back
Top Bottom