Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,729
- 13,759
- Thread starter
- #121
tayari unakuwa umeuza.Kila siku nakula kwani kuna uhusiano gani hapo?
tayari unakuwa umeuza.Kila siku nakula kwani kuna uhusiano gani hapo?
Magonjwa kafufuka, HATA mama YAKO ANAWEZA KUWA na kaumqlaya flani Kwa WATU ila Kwa SABABU ni mama YAKO lazima umweshimuHata mama yako ni mwanamke pia, kumbuka hilo😎
Ulikuwepo?Hii ni kweli
Hata ka ni mtandaoni bado sijaona connection hapo, nini maana ya kuuza? Si bidhaa imfikie mteja! Au?Ndo umalaya wnyw hua nausemea, Au ww ulidhani n wale wanaojiuza njiani?
Nimeuza nini?tayari unakuwa umeuza.
Unampa 400k
Umesema kweli mkuu ila ndo jina lililopewa' Kumuhudumia mwanamke'.Ukosefu wa adabu na heshima huu, mwanke kumuhudumia sio sababu ya hiyo huduma ku term kuwa malay
Kwan malaya wanajiuza au wanatoa Utamu na wanabakiwa na kitendea kazi chao?Hata ka ni mtandaoni bado sijaona connection hapo, nini maana ya kuuza? Si bidhaa imfikie mteja! Au?
Sio lazima bana mbaga usikariri maisha! Izo buku bee ndio za kumuombea mzigo binadamu mwenzio🙄Kwan malaya wanajiuza au wanatoa Utamu na wanabakiwa na kitendea kazi chao?
Huyo anayekupa hizo pesa lazima aje akuombe kikojoleo, n suala la muda tuu
Wanakosea sana hawa vijana. Mwanamke lazima umuhudumie, nature yao kwetu na sio tu kumuhudumia , kumtunza na kuhakikisha yupo salama mda woteUmesema kweli mkuu ila ndo jina lililopewa' Kumuhudumia mwanamke'.
Subiri UtashangazwaSio lazima bana mbaga usikariri maisha! Izo buku bee ndio za kumuombea mzigo binadamu mwenzio🙄
Shida wanaume wengine ukiwakomoa na wewe jiandae kukomolewaMwanamke akija kwako low key unamdharau na kumuona cheap, kwahiyo slay queen ametake over ili usimdispise! Mwanamke akija na high class look na mindset ana expect vitu vikubwa kutoka kwako!! Sio kukukomoa tu!
Huyo mwanamke wako tayari atakuwa anamaanisha na anajua wewe ni mwanaume wake na wala hana njaa za kishamba na ndiomaana anaridhika kuwekewa mafuta ya 30k, kuna watu kukuheshimu labda umuwekee full tank! Kwahiyo kila mtu ana vipaumbele vyake! Japo kwa hali ya kawaida kama mna mutual connection,feelings wala hakuna ukomoaji, binafsi naweza kuja na nisile wala nisiombe mia yako, inategemea kama unajikuta kwakweli nakukomoa vzr tu, asante..
Nyuma yako nipo hata muda huuUlikuwepo?
Ntazirudisha tu sitaweza kuitwa malaya kwa izo buku beeSubiri Utashangazwa
Kukomolewaje?Shida wanaume wengine ukiwakomoa na wewe jiandae kukomolewa
Huu ni uongo, sio kwelibinafsi naweza kuja na nisile wala nisiombe mia yako, inategemea kama unajikuta kwakweli nakukomoa vzr tu,
Huwezi kuwa!Nyuma yako nipo hata muda huu
Unanijua?Huu ni uongo, sio kweli
Mikito heavy mkongo vumbi puturuuKukomolewaje?
Sahizi wote wajanjawajanja tu. Ukilemaa unaliwa wewe.Hahahaa! Ila wanaume mnatofautiana! Kuna watu ukiwa fake ndio utamuenjoy sana! Na kuna watu ukiwa real utaenjoy sana!