Hakuna Mgogoro wowote CHADEMA - Zitto Kabwe

Hakuna Mgogoro wowote CHADEMA - Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
Zitto mvumilivu sana.

Mtu kama Lema inabidi aone aibu sasa.

AIBU IPI? ACHA UNOKO.zitto muda wake bado.anahitaji muda kurudisha imani kwake.wana cdm wengi bado sn kumuamini.namshauri aache kujitenga na chama na kama kuna watu walikuwa wanamdanganya aachane nao kwani watampoteza katka siasa.CDM NI ZAIDI YA YEYOTE
 
Mkuu sixgates anajipanga kutoa kitabu chake "Miaka saba ya kuwa msukule ndani ya Chadema"
 
Last edited by a moderator:
Zitto kwa kweli ni mkomavu wa kisiasa angekuwa Dr Slaa aone mtu anamtukana halafu unagonga Like lazima ufukuzwe chama.
 
Last edited by a moderator:
mambo ndo yanaanza yatapofika kikomo ukweli wote tutaujua wacha mi niendelee kukusanya hoja kwa ajili ya 2015.
 
Ndivyo siasa ya kisayansi inavyokwenda.
Naamini katika tuhuma ambazo zimeelekezwa kwake kama kuna lenye ukweli atakuwa amejua kuwa watu wamemjua naye atajirekebisha.

Kama tuhuma ni za uwongo dhidi yake ukweli pia utajulikana.

CHADEMA kama taasisi inayotegemewa inatakiwa kuwa makini tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Ukiona kivuli ujue kuna mtu nyuma.Hii thread ni ya watu wa CCM na Vibaraka wao.

Pungunguzeni kuniandama kwa kunirushia mapovu.Kama mlivyofanya hapa chini/juu.Wahuni wachache.....!
 
CHADEMA watatoana macho.

Mh. Zitto unaposema CHADEMA hakuna mgogoro ni kutaka kujenga hoja kisiasa lakini ukweli mwenyewe uko kwenye hili sentesi,
ukiona kifaranga kipo juu ya chungu ujue chini kuna mama yake

Kuna hatari hiki kifaranga kikakua na kuwa ni jogoo au kinaweza kutaga mayai mengi na kuku kuongezeka kwenye zizi lao.

Hatufahamu huyu mwenye kuku kama anahitaji kufuga kuku wengi au ataamua kuwaua au kuwauza kwa sababu hatufahamu kama ataweza kuwahudumia.

Kinachoendelea kwa sasa ni majeshi ya ndani kwa ndani kurushiana makombola ya Scud na wengine wanajibu kwa kujikinga kwa kutumia MIM-104 Patriot.

Ninatumaini particles zake hazitawadhuru hata watu walioko kwenye ground zero kama vita haitasitishwa kwa sababu mpaka sasa hatufahamu chanzo cha vita hii ya ndani kwa ndani pamoja na Zitto kutoa angalizo hili,
"Koffi Olomide amewahi kuimba ‘Lokuta eyaka na ascenseur, kasi verite eyei na escalier mpe ekomi' ambayo ina maana ‘uongo hutumia lifti kupanda gorofa; ukweli hutumia ngazi lakini utafika tu. Ukiona uwezo wa viongozi wetu kufanyia kazi habari za uongo au hata wenyewe kutengeneza uongo, utajiuliza sana ubora wa uamuzi wao kuhusu nchi yetu. Viongozi wanasahu kuwa uongo huwafikia haraka sana kabla ya ukweli na hivyo wanapofanya uamuzi kutokana na uongo, ukweli ukifika inakuwa ‘too late'
 
Big up Zito. Waambie wana majungu kuwa hata katika hilo hawakupati ng'o. Ushawatambua kuwa kazi yao ni kuharibu, kubomoa na kuchinja tu. Kauli hiyo moja tu inawatosha hao wapikaji wa majungu. Ama kweli wewe simba mzee bwana hawakunasi kwenye mtego wa panya. Big up nakufagilia man
 
Zitto atakuwa sababu kubwa ya CCM kushinda uchaguzi ujao. Read between lines........Ni Prime Minister mtarajiwa.
 
Ukiona kivuli ujue kuna mtu nyuma.Hii thread ni ya watu wa CCM na Vibaraka wao.

Pungunguzeni kuniandama kwa kunirushia mapovu.Kama mlivyofanya hapa chini/juu.Wahuni wachache.....!

Tatizo ni unafiki wako
 
Naona bosi wenu leo amewalipa posho zenu mapema na weekend yenu imekuwa nzuri LB7.

Huwezi kumkuta Yericko kwenye huu uzi

Zitto mvumilivu sana...

Yericko na ben wao si vifaranga sa hv wapo juu ya chungu! Hawawezi kuja hapa wanafiki wale

Zitto mvumilivu sana.

Mtu kama Lema inabidi aone aibu sasa.

Kuishiwa hoja ni kama hicho anachokifanya huyo mpuuzi jakolango kwa kuujaza uzi na fake document yake, hiyo ishachuja leta nyingine

LEMA akisikia hivi anawasha msokoto mpya!

Slaa anashauriwa na mke wake,nahisi hata ile like ya siku ile alikuwa Josephine,na hawa vikaragosi wengine kama kina Yerickp,Ben na kilewo wanaharibu CHADEMA

"ukiona kifaranga kipo juu ya chungu ujue chini kuna mama yake

Ukiona Lema anaropoka bila woga, jua Tengeru iko nyuma yake...

tatizo la chadema kilasiku nasema ni uroho hicho kirusi kitawatafunaa mpaka mpukujike. mara zito yuko makini mara zito ametumwa na ccm.hivi kweli watanzania tukilogwa tujichanganye mwaka 2015 situtapata taabu sana!

Mkuu sixgates anajipanga kutoa kitabu chake "Miaka saba ya kuwa msukule ndani ya Chadema"

Zitto kwa kweli ni mkomavu wa kisiasa angekuwa Dr Slaa aone mtu anamtukana halafu unagonga Like lazima ufukuzwe chama.

Kweli Zitto ni mshika dini, ingekuwa ni sisi wakristo tungesema yuko ndani ya safina! haogopi chochote!
Kijitonyama Uinjilisti - Ndani ya Safina | Muziki.net

Zitto akunaga.

Tatizo ni unafiki wako
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom