Hakuna Mgogoro wowote CHADEMA - Zitto Kabwe

Hakuna Mgogoro wowote CHADEMA - Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
Ipo reason rais wa awamu ijayo akatakiwa kutoka west of tanzania to estabilish this zone,and zitto/sitta is a right choice
 
Kuna watu wanajifanya wanaipenda chadema kumbe sio wanachadema halisi! Hongera zitto.
 
Kama kweli kayaongea haya hapo kwenye BLUE ni ujinga uliopitiliza kwani sidhani kama ilikuwa ni mahara pake na napata shida kuelewa lengo la ziara yake ilikuwa ni nini, je ilikuwa ni kuimalisha chama au kubomoa chama? Zitto marumbano yaliyotokea yamefanyika kupitia mitandao ya kijamii inamaanisha alishindwa kujibu kupitia mitandao hiyo hadi leo hii atumie marumbano yale kwenye mikutano ya hadhara. Kwa hiki alichokifanya amezidi kujiweka mbali na Chama na kuonyesha wazi chanzo cha migogolo ndani ya CHADEMA ni yeye.

Hii ni zaidi ya double standard,kweli tena!Kwanini mumchagulie jukwaa la kujibia hizi tuhuma ikiwa waliomjadili Zitto pia walitumia JF badala ya vikao vya Chama?
 
Kuna tatizo gani shujaa wangu??? huoni kama kuna juhudi za watu kujenga chama? kwanini mnawachanganya wananchi? mnaacha mianya mingi wananchi kuichagua CCM 2015 tena.

Tuelewesheni mambo!!!!!!

mary mary.....

Hakuna mahali tulipowachanganya watu.Unaweza kuwa umeanzisha thread kwa nia njema lakini maudhui yakawa suitable kwa CCM.

Kwa mfano ukisema hadharani tatizo ni Uenyekiti wa chama maana yake nini mkuu?Hebu tafakari kwa kina tu
 
Last edited by a moderator:
Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu, people'sssss powerrrr!? Haya tuchangeni sasa pesa za kukiendesha chama. Lema chukua kapu na uzunguke kuchukua michango ya makamanda. People'sssss powerrrr!? Mwisho wa siku pesa zinazochangwa na wafuasi walalahoi zinatumika katika utalii wa slaa na demu wake, zinajengewa mahekalu ya viongozi wa chadema bongo na ughaibuni n.k na mwisho ni people's power.
 
Tanzania bwana, yaani kurudishana nyuma ndio mpango mzima. Kwa sasa Hebu tumpe Zitto benefit of the doubt. Time will tell juu ya tuhuma hizi.
 
Mabere Marando yupo pale kwa kazi Maalumu waache wapambabe na ZZK kumbe kuna majasusi wengi ndani ya CDM hawalijuwi Hilo!

Ipo siku watajua ukweli na watakuwa wameshachelewa! Hii ni Siri nzito tunaijua sisi wezee vijana endeleeni kupiga kelele!
 
Naona bosi wenu leo amewalipa posho zenu mapema na weekend yenu imekuwa nzuri LB7.
Wewe msukule ulijabaragua siku ile kumsifia Lema ili akuone, Chadema ina wenyewe wewe endelea na upambe.
 
Ni wapi ulikowahi kuniona nawasiliana na TISS kuhujumu chama katikati ya uchaguzi mkuu?

Ben na wee kaa kimya hapa tunajua madhambi yako mengi sana na ipo ck utanikumbuka! Tunajua unachokifanya na kwenye gari lako nini unabeba na wapi unaficha!

We ilichukuwa dk 5 kujua maisha yako yote na ipo ck utanikumbuka kwa haya maneno yangu! Unadhani hii dunia Ina Siri? Tunajua Jana umefanya nini na Leo utaenda wapi na utafanya nini na utabeba nn na utaficha wapi!

Kaa kimya ndugu yangu! Hakuna ukereketwa hapa kuna maslahi tu!
 
Ni wapi ulikowahi kuniona nashirikiana na CCM kwa hila chafu dhidi ya CHADEMA na viongozi wake nikiwa nashabikiwa na CCM?

Labda kama sijui maana ya unafiki.

Hauna hadhi ya kupendwa na CCM simply because nje ya JamiiForums hakuna anayekujua.
 
CHADEMA ya mwaka 2010> ni dhahili na ni wazi Dr.Slaa amejipatia jina kubwa sana.JIna lake hili kubwa limebebwa na hoja moja tu(UFISADI-LIST OF SHAME..MEREMETA,KAGODA,EPA) zaidi ya hapo hakuna hoja nyingine ambayo Dr.slaa ameweza kuileta mbele ya watanzania.

Achilia mbali siasa za kiharakati(POPULAR POLITICS) ambazo mara nyingi hazilengi kuchukua dola zaidi ya kuamsha serikali iliyopo madarakani kama za GODBLESS LEMA NA FREEMAN AIKAELI MBOWE.

DR.SLAA amekuwa chachu kubwa sana kujenga na kuimarisha chama mwanzoni mwa mwaka 2009 kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.

Hiki kipindi Dr.slaa ndiye(sio pekee) aliyemwagilia maji bustani ya CHADEMA ikazaa matunda ya wafuasi wengi tunaowaona leo.Amefanya kazi kubwa sana kusambaza vuguvugu la siasa za CHADEMA countrywide.

THAMANI YA DR.SLAA NA ANGUKO LAKE KABLA YA 2015
Nimekuwa karibu sana kufuatilia mwenendo wa siasa za CHADEMA za ndani na za nje ya CHAMA(Jukwaani na Mezani).
Siku za karibuni(2011-2012) kwa siasa za ndani za CHADEMA Dr.slaa thamani yake imeshuka sana(deceralation),Kushuka kwake nimtambuka kupitia mambo yafutayo.

1)Dr.slaa amejijengea maadui wengi zaidi kuanzia ngazi ya ofisi za chama Taifa hadi ngazi ya Shina(katika ngazi ya Taifa_Dr.slaa ameshafukuzana na akurugenzi wa chama,Dr.slaa amejiaminisha uwepo wa kambi mbili (KAMBI YA ZITTO na Kambi ya Mbowe+slaa) Hili jambo limekuwa likizua tafrani za mara kwa mara kati ya viongozi hao wajuu wa chama. naomba kutoa mfano wa meseji iliyotumwa toka kwa dr.slaa na mke wake Josephine kwenda kwa vijana wa Zitto.

2)Dr.slaa anaonekana ni tatizo kubwa sana dhidi ya ccm,Nguvu nyingi CCM wanazielekeza kummaliza Dr.slaa kisiasa.(Mfano sakata la Ndoa yake)

3)Dr.slaa amejitosa kwenye marumbano na vijana wa CHADEMA ambao kwa namna moja au nyingine ni wale waliofanyiwa umafia kwenye uchaguzi wa BAVICHA,pia wale wanaoonekana kuegamia mtandao wa naibu wake.

4).Dr.slaa kiuhalisia kabisa ameonekana kutumika kuimarisha ngome za Freeman Mbowe bila yeye kujijua.hadi sasa MGOMBEA URAIS MWAKA 2012 ASILIMIA 80 AMEJIPA FREEMAN MBOWE(Kwaimani kwamba mwaka 2015 Jina la chama ndilo litakaloshinda sio mtu)
5.Pia dr.slaa ameonekana kupoteza mwelekeo wa siasa zake ndani ya chama kutokana na kuhusisha Mke wake kwenye siasa za CHAMA mbali kabisa na namna mwenyekiti alivyoweza kum-handle mke wake na siasa za chama.

ANGUKO
Dr.slaa kwa mujibu wa siri za ndani ya CHAMA hata gombea Urais mwaka 2015,maandalizi yote yameelezwa kwa Freeman aikael Mbowe,ambaye dalili za wazi ndani ya vikao vya chama ameshaonekana kutaka kukitetea kiti cha Urais mwaka 2015.

kwa maana hiyo Dr.slaa ambaye anastaafu siasa mwaka 2014 hatakuwa na nafasi tena ya kusimama kwenye uringo wa siasa kupambana na vijana wenye damu changa.
 
Huyu Beni ni kama kondomu......kwamaana ya kwamba inatumika pale inapoitajika watu wakisha maliza haja zao huitupwa jaani.....sasa endea kua kibaraka wa Dr na Ipo siku utakumbuka haya ninayo kwambia.
 
Ni wapi ulikowahi kuniona nawasiliana na TISS kuhujumu chama katikati ya uchaguzi mkuu?

ben saanane, kama kweli we unaifahamu siasa na unajiandaa kuwa kiongozi hapo mbeleni sioni haja yako wewe kuendelea kushabikia udaku na kurushiana maneno na watu hum Jf yasiyo na maana. Umeshaona vijana wenzako busara walizonazo? Mfano heche, mnyika n,k
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom