T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,930
- 991
Ukiona kivuli ujue kuna mtu nyuma.Hii thread ni ya watu wa CCM na Vibaraka wao.
Pungunguzeni kuniandama kwa kunirushia mapovu.Kama mlivyofanya hapa chini/juu.Wahuni wachache.....!
Wewe ni kirusi
Ukiona kivuli ujue kuna mtu nyuma.Hii thread ni ya watu wa CCM na Vibaraka wao.
Pungunguzeni kuniandama kwa kunirushia mapovu.Kama mlivyofanya hapa chini/juu.Wahuni wachache.....!
Naona bosi wenu leo amewalipa posho zenu mapema na weekend yenu imekuwa nzuri LB7.
Una tindikali hapo? Au sumu uwalisheNaona bosi wenu leo amewalipa posho zenu mapema na weekend yenu imekuwa nzuri LB7.
Zitto kwa kweli ni mkomavu wa kisiasa angekuwa Dr Slaa aone mtu anamtukana halafu unagonga Like lazima ufukuzwe chama.
Hata mimi nampenda sana Zitto lakimi kinachonitia hofu kwake ni kupendwa sana watu waCCM na waliohama chama sasa agombee urais kwa chama gani? Chadema aliko sasa au CCM anakopendwa zaidi? Maccm mwacheni Zito vinginevo kwa kumsifia sijui kama ,wamwongezea au mwampunguzia sifa ChademaHuyu mtu kajaliwa akili sana, ni mvumilivu, mstahimilivu. Anaweza kuwa mwenyekiti wa chadema. Mungu ampe uzima
Ni Dr Slaa na misukule yake,wanaharibu chama na iko wazi tuh
Naona bosi wenu leo amewalipa posho zenu mapema na weekend yenu imekuwa nzuri LB7.
Kwa kweli Zitto ni mtu wa kutumainiwa.
Angekuwa inawezekana akagombea urais angekonga nyoyo za watz
Akiwahutubia Wananchi wa Kaliua leo Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe ameonyesha kushangazwa kwake na kusikitishwa na uongo na uzushi unaofanywa dhidi yake na zaidi na watu wanaojidai kuwa ni Wanachadema pia.
Zitto amesema wakati huu ambao yeye amekuwa akihangaika kufuatilia watu na makampuni yaliyoficha fedha nje ya nchi vita ya kisiasa dhidi yake imezidi kuwa kubwa ambapo CCM, Matajiri hao na hata wanaCHADEMA wamekuwa wakimpiga mishale mingi ili kummaliza nguvu. "Mimi ni binadamu nikifinywa naumia, nikipigwa mishale pia naumia tusiruhusu watu waturudishe nyuma katika mapambano kwasababu ya maslahi yao" Alisema Zitto
Zitto aliongeza demokrasia ndani ya CHADEMA iko tangu siku nyingi ambapo mwaka 1995 Mzee Mtei alishindana na Mzee Bob Makani katika kinyang'anyiro cha kuomba kuteuliwa kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA lakini baadae waliamua kumuunga mkono Mrema. Mwaka 2000 Mzee Makani aligombea Uenyekiti akichuana na Mzee Ndesamburo na Makani kushinda lakini Chama kilikuwa pamoja. Kwanini yeye kugombea Uenyekiti 2009 iwe nongwa?? Alihoji!
Mnakumbuka Marando alivyoitwa Shushushu? Marando alinuka nchi nzima lakini leo Marando yuko wapi? si CHADEMA? Na ni Mwanasheria wetu kwa sasa.
Kwa kweli Zitto ni mtu wa kutumainiwa.
Angekuwa inawezekana akagombea urais angekonga nyoyo za watz
Ni Dr Slaa na misukule yake,wanaharibu chama na iko wazi tuh
bado uko chadema si ulisema umemwaga manyanga?
by the way Zito bado kuwa rais anahitaji muda kwanza
siasa zake hazijakaa imara kuongoza nchi.
Tumpe muda ajifunze zaidi
Kama kweli kayaongea haya hapo kwenye BLUE ni ujinga uliopitiliza kwani sidhani kama ilikuwa ni mahara pake na napata shida kuelewa lengo la ziara yake ilikuwa ni nini, je ilikuwa ni kuimalisha chama au kubomoa chama? Zitto marumbano yaliyotokea yamefanyika kupitia mitandao ya kijamii inamaanisha alishindwa kujibu kupitia mitandao hiyo hadi leo hii atumie marumbano yale kwenye mikutano ya hadhara. Kwa hiki alichokifanya amezidi kujiweka mbali na Chama na kuonyesha wazi chanzo cha migogolo ndani ya CHADEMA ni yeye.
Ukiona kivuli ujue kuna mtu nyuma.Hii thread ni ya watu wa CCM na Vibaraka wao.!