Hakuna Mgogoro wowote CHADEMA - Zitto Kabwe

Hakuna Mgogoro wowote CHADEMA - Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa nadhani alisomea PhD ya unafiki na umamluki. Anajua kuunganisha history na kujenga hoja inayoleta mantiki ili kuwarubuni watu. Hongera kwa hiyo destructive mind uliyojaliwa, ila utaishia kula ulichopanda
 
Kuishiwa hoja ni kama hicho anachokifanya huyo mpuuzi jakolango kwa kuujaza uzi na fake document yake, hiyo ishachuja leta nyingine
 
Zitto mvumilivu sana...

kweli hakuna kiongozi mvumilivu kama Zitto chadema.

Walidhani atakufa moyo lakini maskini mungu amempa roho ya pekee ambapo ingekuwa ni mtu mwingine kwa siasa za Godbless J Lema angesha vunjika moyo.

Zitto mungu aendelee kukulinda na mishale ya mwenyekiti wa chadema baunsa( Godbless J Lema) ishindwe na imrudie.
 
Last edited by a moderator:
Hakika zito unapaswa kuwa raisi wa tanzania.hongera sana kwakuonyesha ustahmilivu wahali ya juu.

Kwenye nia pana njia.utafanikiwa tu.
 
kweli hakuna kiongozi mvumilivu kama Zitto chadema.

Walidhani atakufa moyo lakini maskini mungu amempa roho ya pekee ambapo ingekuwa ni mtu mwingine kwa siasa za Godbless J Lema angesha vunjika moyo.

Zitto mungu aendelee kukulinda na mishale ya mwenyekiti wa chadema baunsa( Godbless J Lema) ishindwe na imrudie.

Na dalili zake za ushindi ziko wazi wazi sana na ndo maana maadui zake hawalali kutwa kuweseseka'
 
Last edited by a moderator:
"ukiona kifaranga kipo juu ya chungu ujue chini kuna mama yake

Ukiona Lema anaropoka bila woga, jua Tengeru iko nyuma yake...
 
Zitto hapa anatafuta muda wa kusahihisha makosa yake baadae aje na mgogoro mwingine mkubwa.
 
Zitto mvumilivu sana...
tatizo la chadema kilasiku nasema ni uroho hicho kirusi kitawatafunaa mpaka mpukujike. mara zito yuko makini mara zito ametumwa na ccm.hivi kweli watanzania tukilogwa tujichanganye mwaka 2015 situtapata taabu sana!
 
hakika namkubali sana zito hata kama anamapungufu najua atajirudi kila mtu anamapungufu yake tusonge mbele tuachane na propaganda
 
...tupo pamoja kamanda Zitto! Nakuamini, mti wenye matunda ndo upigwao mawe!
Go go go ZZK

Kwakweli mkuu Ziroseventytwo tukiachilia mbali ulicho andika, nimependa namna ID Yako ilivyo ficha jina la Zitto ndani yake.(kuna watakao nielewa na wengine hawata nielewa)
 
Last edited by a moderator:
Credibilities are achieved; they are never ascribed!!!!!

However difficult the situation is,the credible will always survive!!!!!

Keep going son!!!!
 
Book 7 wa Lumumba mnapata wapi ujasiri wa kuingia huu uzi? Hauwahusu! Zitto songa mbele, ukombozi u-karibu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom