likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,091
Ngoja ukifa ndo utasimulia ina mana watu sisi tumeibuka tu Duniani?
Kwa sisi tulioko rohoni tunajua kilichoko mbele, walioko katika mwili ya rohoni kwao ni upotevu.Kama mimea,wanyama,wadudu hufa na kupotea
Hata sisi binadamu ni hivyo hivyo
Usiumize kichwa kuwaza maisha baada ya kifo,ukishakufa ndo umekufa,
Hakuna cha peponi,wala motoni,wala kufufuka tena
Kama pombe kunywa ipasavyo,ukifa ndo nitoleee
Kama ngono fanya upendavyo,,ukifa ndo imetok
Hakunamaisha baada ya kifo
Kuna mwingine alisema dini ni aina mojawapo ya ulevi katika jamiiHakuna moto wamilele, izo ni propaganda tu za kuwafanya wanadamu wawe waoga na waishi vizuri
kunamwanafalsafa mmoja alisema,dini ni moja ya kueneza UKOLONI
naludia tena hakuna maisha baada ya kifo
hahahahaHuna tofauti na Mfaransa mmoja aliyesema dini ni ulevi unaowafanya watu maskini wajifariji kuwa watapata maisha bora baada ya kufa,wakati wameshindwa kuyapata hapa duniani.!!
These are just mare words,where is evidence to support your claim.Kama mimea,wanyama,wadudu hufa na kupotea
Hata sisi binadamu ni hivyo hivyo
Usiumize kichwa kuwaza maisha baada ya kifo,ukishakufa ndo umekufa,
Hakuna cha peponi,wala motoni,wala kufufuka tena
Kama pombe kunywa ipasavyo,ukifa ndo nitoleee
Kama ngono fanya upendavyo,,ukifa ndo imetok
Hakunamaisha baada ya kifo
These are just mare words,where is evidence to support your claim.Kama mimea,wanyama,wadudu hufa na kupotea
Hata sisi binadamu ni hivyo hivyo
Usiumize kichwa kuwaza maisha baada ya kifo,ukishakufa ndo umekufa,
Hakuna cha peponi,wala motoni,wala kufufuka tena
Kama pombe kunywa ipasavyo,ukifa ndo nitoleee
Kama ngono fanya upendavyo,,ukifa ndo imetok
Hakunamaisha baada ya kifo
These are just mare words,where is evidence to support your claim.
We do say other wise,because,holy books(bible&Koran)says so.
Proof bro,weka ushahidi,
Ulevi ni nini?Kuna mwingine alisema dini ni aina mojawapo ya ulevi katika jamii