Hakuna maisha baada ya kifo(no life after death)

Hakuna maisha baada ya kifo(no life after death)

Afande Kirusi

Senior Member
Joined
Mar 15, 2018
Posts
110
Reaction score
125
Kama mimea,wanyama,wadudu hufa na kupotea hata sisi binadamu ni hivyo hivyo usiumize kichwa kuwaza maisha baada ya kifo,ukishakufa ndo umekufa hakuna cha peponi,wala motoni,wala kufufuka tena kama pombe kunywa ipasavyo,ukifa ndo nitoleee
Kama ngono fanya upendavyo, ukifa ndo imetoka hakunamaisha baada ya kifo.
 
Kama mimea,wanyama,wadudu hufa na kupotea

Hata sisi binadamu ni hivyo hivyo

Usiumize kichwa kuwaza maisha baada ya kifo,ukishakufa ndo umekufa,

Hakuna cha peponi,wala motoni,wala kufufuka tena

Kama pombe kunywa ipasavyo,ukifa ndo nitoleee

Kama ngono fanya upendavyo,,ukifa ndo imetok


Hakunamaisha baada ya kifo
Huna tofauti na Mfaransa mmoja aliyesema dini ni ulevi unaowafanya watu maskini wajifariji kuwa watapata maisha bora baada ya kufa,wakati wameshindwa kuyapata hapa duniani.!!
 
Kama wewe uoni tofauti yako na mimea na wanyama basi ukifa huna maisha tena baada ya kufa
kusema hakuna maisha baada ya kufa ni kusema hakuna Mungu na kusema hakuna Mungu wewe unakuwa mpumbavu kwasababu unamaanisha wewe umekuwe duniani hakuna aliekufanya uwepo
Kwasababu kila kilichopo mbele ya macho yetu yuko aliekifanya kuwepo ndiye chanzo
sisi wanadamu chanzo chetu ni Mungu na ndiye amesema kuna maisha baada ya kufa
 
Hivi mila za kiafrika wanaomba mizimu, hayo ndio maisha baada ya kufa mbinguni na motoni ni hadithi za abunuwasi ila maisha ya roho yanaendelea na mwili unaoza huenda katika umbo lingine.
 
unatakiwa ujue kuwa kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanadamu na kiumbe chochote kile hapa duniani
1st wewe una kitu kinaitwa nafsi bali viumbe wengine hawana
2nd wewe una utashi wa tofauti kabisa na viumbe wengine wote (eg. imani )
3rd lisemwalo lipo kama halipo laja so take it in mind
 
Kama wewe uoni tofauti yako na mimea na wanyama basi ukifa huna maisha tena baada ya kufa
kusema hakuna maisha baada ya kufa ni kusema hakuna Mungu na kusema hakuna Mungu wewe unakuwa mpumbavu kwasababu unamaanisha wewe umekuwe duniani hakuna aliekufanya uwepo
Kwasababu kila kilichopo mbele ya macho yetu yuko aliekifanya kuwepo ndiye chanzo
sisi wanadamu chanzo chetu ni Mungu na ndiye amesema kuna maisha baada ya kufa
kwa haya uliyoyanena hakika thawabu yako ipo na imekwisha hesabiwa may un movable mover un caused cause Mungu wetu mwema na azidi kukupa maarifa zaidi.
 
Back
Top Bottom