Hakuna kura ya hapana, wajumbe 99.8% walioshiriki wanataka Maboresho ya Katiba CCM

Hakuna kura ya hapana, wajumbe 99.8% walioshiriki wanataka Maboresho ya Katiba CCM

Inafurahisha sana wafuasi wa Chadema wanapeana faraja kuliwazana kuwa CCM inatasambaratika kwenye uchaguzi wao kuwa hamtaki Rais Samia, ukiwauliza mbadala wa CCM nani wanasema Polepole😂
 
Kuna faida gani kupinga tu for the sake of kupinga? Halima Mdee alikoda Ubunge wa Kawe kwa Askofu Gwajima pale Magufuli aliposema Halima anapiga kura bungeni kukataa budget ya kujenga fliyover ya Kawe.
 
Back
Top Bottom