Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

Umeongea ukweli mtupu lakini pia katika dini wazazi tunashauriwa tuwaachie watoto urithi
Mithali 13
22 Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.
Mkuu kwa wazee wengi na maisha ya hapa kwetu kitu kikuu cha mzee ambae anaweza kujiwekeza ni kwa mtoto wake hii inakuja pale anapojitolea hali yake yote kukusomesga wew ukafanikiwa,na kama hakiba yake yote aliitolea kwako basi basi wew pia ulipe kwa jambo hilo na istoshe juu ya yote hata mzee akiweza kujitegemea hakuna malipo unayoweza kumlipa.
 
Sijasema mtu asiwasaidie wazazi wake ila nimesema ni Aibu kwao kusaidiwa na watoto. Watu wangejua nini maana ya Baba wasingepinga hii Mada. Sema wazazi wa siku hizi wamekuwa wavivu, watu wa anasa, watu wabadhirifu na wabinafsi. Mzazi ni mtoaji mtoto ni mpokeaji siku zote bila kujali umri wa mtoto.

Hata hivyo ujumbe huu unanihusu mimi na wewe kijana wa sasa. Ikiwa utazembea sasa hivi eti kisa umezaa watoto hata Mungu aliyekuumba atakushangaa. Mungu anahitaji watu wenye akili na wenye kumtii yeye na kumuiga.
Wala sio aibu ni km alivyokutunza ww kwa mapenz yote na as wewe ujue ni jukumu lako kuwasaidia,wazazi wa ss wanajituma sana tena kwenye kufatilia watoto wao kwakweli wanajitahidi tofauti na wazazi wetu wa zamani.
 
Mkuu kwa wazee wengi na maisha ya hapa kwetu kitu kikuu cha mzee ambae anaweza kujiwekeza ni kwa mtoto wake hii inakuja pale anapojitolea hali yake yote kukusomesga wew ukafanikiwa,na kama hakiba yake yote aliitolea kwako basi basi wew pia ulipe kwa jambo hilo na istoshe juu ya yote hata mzee akiweza kujitegemea hakuna malipo unayoweza kumlipa.


Na ndio tafsiri kuwa mtoto hawezi kumlipa mzazi. Ila mzazi tayari amepewa hiyo baraka. Kinachotokea ni kutoa tu shukurani kwa wazazi na si wazazi kuwategemea watoto. mtoto ndiye mwenye haki ya kumtegemea mzazi na si kinyume chake.

Mtoto anatoa hisani, fadhila ambayo hata hivyo huweza kuwa isiwe na umuhimu. Kwani hata kabla hajazaliwa tayari wazazi wake walikuwepo wanaishi tuu bila kumtegemea yeye. Mzazi sharti aweke miradi ambayo akizeeka watoto wataisimamia ili iendelee kumtunza
 
Wala sio aibu ni km alivyokutunza ww kwa mapenz yote na as wewe ujue ni jukumu lako kuwasaidia,wazazi wa ss wanajituma sana tena kwenye kufatilia watoto wao kwakweli wanajitahidi tofauti na wazazi wetu wa zamani.


Wazazi wanasaidiwa na watoto pale walipoacha miradi yao. Vinginevyo ni umasikini tuu unaoendekezwa. We unafikiri kwa nini mambo haya hayapo kwenye nchi zilizoendelea?
 
Bro mungu atakuonesha nuru katika hilo jambo unaloliongelea,inshallah mungu akujaalie ue mtoto bora unaewajali wazee wako katika kila hali.
 
Bro mungu atakuonesha nuru katika hilo jambo unaloliongelea,inshallah mungu akujaalie ue mtoto bora unaewajali wazee wako katika kila hali.


Mimi ni lazima niwasaidie. Ila mada hii inatuusu sisi vijana kuwa tupigana kufa na kupona kwa kufanya kazi halali ili tupunguze adha za uzeeni. ikiwezekana tuwasaidie watoto na wajukuu.
 
Duuuuuuuh hiii kitu imenigusa sanaa kiukweri yaan n kama muandika huu uzii nikama alkuja akaona maisha nayoishi mimi na babayangu ila asante sanaa muandaaji kwa sababu na mmi siwez kukubali watoto wangu waje kuishi haya maisha
 
Mkuu hio post ya jamaa imenisikitisha sana mim mzee wangu amehangaika nchi mbali mbali kutufanya sisi tusome mpaka hapa tulipo. Hakiba yake haikukaa kwa mahaitaji ya watoto wake.
Hivi kweli mzee leo amezeeka na hana kitu unakutegemea kwa asilimia mia usimsaidie,ni nani ana laana kati ya hao wawili?
Leo nimemskia jamaa anasema watoto kwa kipindi hiki ni muhimu sana tena uwakuze katika maadili ya dini na bila itakua hasara ni kma tunayoiyona hapa.
Mzee wako alikuwa pia na uhuru wa kutokuwazaa kama alikuwa hataki kuhangaika juu yako/yenu. Na wewe pia una uhuru wa kutokuzaa kama hautaki kuhangaika kwa ajili ya unaowaleta duniani. Lakini usifyatue tu watoto na kutokuyaandaa maisha yako eti watoto watakusaidia.
 
Kama ulilelewa na wazazi hauwezi ongea hv,ukikumbuka walivyohangaika kukusomesha kwa shida toka kindergarten na kipato chao kidogo wakahakikisha unapata elimu bora,mpaka unamaliza chuo nawao ss uzee unaingia nguvu zile za kuchacharika zimepungua kwann usiwasaidie ni roho mbaya na ubinafsi.
Ni kweli wazazi wengine wameiishi kwa kima cha chini wengine kwa biashara ndogondogo. Unspokua wanafurahi sasa mtt kakuwa mzigo utapungua. Ukibaharika kurithi mali kwa wazazi mshukuru tu Mungu. Kikubwa ni elimu iwe ya shule au ya msisha. Wazee wa zamani waliwarithisha watt wao ujuzi kama kuwinda, uvuvi ususi, ujenzi, uhunzi nk.
 
Duuuuuuuh hiii kitu imenigusa sanaa kiukweri yaan n kama muandika huu uzii nikama alkuja akaona maisha nayoishi mimi na babayangu ila asante sanaa muandaaji kwa sababu na mmi siwez kukubali watoto wangu waje kuishi haya maisha


Hata mimi napambana na hili mkuu. Ili tuwapunguzie watoto wetu makali ya maisha
 
Mleta Uzi anamgogoro na baba take, na huu Uzi ameuandika akiwa na hasira. Mwisho wa Sikh hasira zikiisha atabaki kujutia maneno makali aliyotumia. Time will tell


Mkuu huu ndio ukweli na wala si hasira na wazazi wangu. Mimi pia ni mzazi wa kesho unafikiri mada hii haitanihusu kama nikizembea kwa uzembe na kula anasa nikiwa kijana. Nikitapanya mali kwa uasherati unadhani jina la Baba jinga halitanipata. Endelea kufikiri hivyo hivyo ila wenzako wenye akili wameelewa mantiki na ujumbe uliokuwepo kwenye hili bandiko
 
Nachojua na nilichofundishwa na ninachozingatia leo.
Ukiwa baba unawajibu wa kuitunza na kuhakikisha kesho bora ya watoto.
Mtoto wako au watoto wako pamoja na mkeo watakuitii na kukuheshim sana mwisho miaka 25. So ukiwa baba tambua mkeo anakupenda coz wewe kwake ni ulinz na kesho ya watoto wake so wapende sana watoto na mpende sana mkeo lakin tambua Yesu alituambia ukiwa kijana unaweza kwenda popote ila ukishazeeka utaamuliwa pa kwenda na hutabisha. Iko hiv.
Wekeza sana nyumba za kutosha za kupangisha kama unauwezo wa kurun kampun fanya mzee kikubwa ukifikisha miaka 25 ya ndoa uwe unasehem unapata za kuchukua mzee. Maana wakat huo watoto wote wanarud na mama yao na utaanza kupewa maneno makali hukuyategemea na mkeo anakuona wewe unamuwekea kiwingu so ili kuepuka hayo tengeneza mazingira ambayo ukifikia umr flan unatoka mjin unakuwa nje ya mji unatengeneza himaya yako watoto wawe ndio wanakutafuta. Tumia muda mwingi kutembea safar za mbali na mkeo kuepuka stress za uzeen ili azid kukupenda. Lakin pia tangu mtoto wa kwanza unamzaa hakikisha kila anachotaka wewe baba ndio unampa hata kama ni hela ya mkeo mwambie akupe wewe ndio umpe ili kuwajengea mentality kuwa baba alikuwa anatupa.maana wazee wengi wamepigwa hapo. Unampa mama ada cjui nini kawalipie watoto sasa watoto wanakuwa na ile kitu mwisho wa siku akilini mwao Inaonekana hukushughulikia vya kutosha maisha yao.
Mwisho fuatilia wazee wengi wanakufa 60 65 mpaka 70 coz wanapewa haras na wake wakishirikiana na watoto na wazee hawasemag mwisho ugonjwa wa moyo anaishia. Kingine fuatilia kama mzee wako anakaa kijijin cku ukienda kuwatembelea wazee ur mumy atakuwa na muda mwingi wa kukwambia matatizo ya bana yako just bcoz anataka hela zote umwachie yeye umnyime mzee so kuwa makin mzee ucje kuwategemea watoto uzeen utateseka sana. Tafuta hela zako sio za watoto wao wape elim ile ya kiume then kadir maisha yanavyoenda ndio utamjua tu ni yupi mtoto anaweza kusimamia shughuli zako mwisho uwaachie urithi
 
Back
Top Bottom