Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

Duh.. Kuna mtu alikuwa yupo vyr, mara bila kutarajia kageuzwa kuwa BABA JINGA na ile bomoa bomoa ya Kimara
 
Duh.. Kuna mtu alikuwa yupo vzr, mara bila kutarajia kageuzwa kuwa BABA JINGA na ile bomoa bomoa ya Kimara
 
Duh.. Kuna mtu alikuwa yupo vzr, mara bila kutarajia kageuzwa kuwa BABA JINGA na ile bomoa bomoa ya Kimara
 
Habari wakuu!

Mtaniwia radhi kwa maneno makali na machungu nitakayoyatoa hapa. Lengo ni kuweka mambo sawa na kutufanya tujiandae mapema.

Hakuna jambo baya kama Baba kumtegemea Mtoto. Ni jambo la aibu tena aibu kubwa sana. Ni dalili ya laana na kuendekeza ujinga katika jamii. Ni fedheha kubwa sana Baba kumtegemea mtoto kiuchumi.

Baba bora ndiye huamua kwa kiasi kikubwa Future ya watoto wake. Hupigana kufa na kupona ili watoto wake watimize ndoto zao. Zamani kidogo Baba ndiye humsaidia mtoto wake wakiume kutafuta maisha kwa kumuongezea mtaji. Kama haitoshi Baba ndiye huhusika kwa asilimia mia moja katika ishu ya Kutoa Mahari kwa kijana wake. Hii ni kutokana na kuwa Kijana wake anaenda kuongeza ukoo wake.

Biblia inatuambia kuwa Mzazi mwema ni yule anayeacha urithi kwa watoto wake hata vizazi vitatu. Andiko hili linatoa chachu na ari kwa wanaume kufanya kazi kwa bidii kusudi wawapatie watoto na wajukuu wao urithi mwema. Pia maandiko hayo hayo matakatifu yanatuambia "Heri mtu asiyeamini kuliko yule ashindwaye kuhudumia watu wa kwao" Huyo ni paulo.

Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la Baba Jinga. Baba wenye kutoa sababu lukuki pindi linapokuja suala la majukumu yao. Wababa wengi wanakimbia majukumu yao. Kijana unayesoma sasa hivi ikiwa unamawazo ya kusaidiwa na watoto wako uzeeni ujue upo kwenye kundi la Baba Jinga. Hujui thamani ya jina "Baba".

Watu wengi hutegemea watoto wao. Huu ni ujinga na kuendekeza uvivu usiovumilika. Ujana wote unashindia pombe, unavaa nguo za gharama, unatembelea magari mazuri bila kuwekeza alafu uzeeni unaanza kusumbua watoto.

Wababa wa zamani licha ya kuwa hawakuenda shule lakini walijua kuwekeza kwenye kilimo, kwenye ufugaji na mambo mengine. Ndio maana ule msemo wa Jungu kuu halikosi ukoko ulikuwa ni halisi. Lakini kwa sasa Wababa wengi wanazembea sana. Unakuta mtu hafanyi kazi akiwa kijana mwenye nguvu anaanza kukurupuka akiwa na miaka 45+ huko. Hivi uliona wapi Watu wakipanda wakati wa mavuno. Uzee ni msimu wa kuvuna kile ulichokipanda.

Kama ulipanda zinaa basi utavuna maradhi kama ya mgongo, mfumo wa mkojo, magonjwa ya zinaa. Kama uliwekeza kwenye pombe basi jiandae kisukari, Shinikizo la damu. Hapa ndipo penye lawama hapa. Unakuta unaumwa halafu hauna hela ya matibabu. Ukicheki nyuma hukuwekeza. Kazi kulia lia kwa watoto. Amini amini nakuambia Hata utoe laana ya namna ipi haiwezi kufanikiwa na wewe mwenyewe utakuwa shahidi.

Hata Biblia haimtambui Mgane kama ni sehemu ya kupewa msaada. Mwenye haki ya kupewa ofa za uzeeni ni Mjane(Bibi). Babu(Mgane) Hatambuliki kwani ni Baba yaani anamuwakilisha Mungu. Sasa kama Mungu anapewa msaada sijui kwa kweli.

Vijana tunaoenda kuwa Baba tuwekeze jamani. Maisha ni mara moja. Umri unakimbia mbaya sana. Leo miaka 25 unasema muda upo unashangaa miaka 40 hii hapa ndio unashtuka. Usipende makubwa wakati wa kutafuta. Wenzako wananunua gari nawe umo. Wenzako wananunua Iphone sijui ngapi nawe umo. Wakati wewe ukifanya hayo ukifikiri ndio maisha wenzako wananunua hekari tatu kwa laki tisa. Baada ya miaka ishirini unashangaa wanamiliki si chini ya heka 50 unaona kama waliiba pesa kumbe ni akili. Wakati wa uzee wanaweza kuwarithisha watoto mashamba. Wewe unaanza kupiga mizinga watoto ujinga tuu.

Nabii Ibrahimu aliweza kutoa mahari kwa kijana wake Isack. Lakini leo ni Wababa wangapi wangiambiwa watoe hata ng'ombe kumi tuu kama mahari watakavyoanza kushikana mashati. Ujinga ni kutegemea watoto ilihali wewe ndiwe uliwaleta duniani.

Inatakiwa uwategemee watoto kwa kuendesha miradi yako uliyowaachia ili waweze kujikimu wa na familia zao. Huku wewe ukimsubiri Israeli mtoa roho kwa shauku kubwa. Hata Israel huwaogopaga wazee wa hivi. Kwani wamevipiga vita vizuri mwendo wameumaliza na mali wamezitunza. Sula la imani sitaliongelea kwa leo.


Vijana tupambane kwa kweli kupunguza Baba Jinga.

Nawasilisha.

Povu lolote linaruhusiwa nguo zipo nyingi za kufua
Daaa aisee wacha niendelee kupigana
 
Habari wakuu!

Mtaniwia radhi kwa maneno makali na machungu nitakayoyatoa hapa. Lengo ni kuweka mambo sawa na kutufanya tujiandae mapema.

Hakuna jambo baya kama Baba kumtegemea Mtoto. Ni jambo la aibu tena aibu kubwa sana. Ni dalili ya laana na kuendekeza ujinga katika jamii. Ni fedheha kubwa sana Baba kumtegemea mtoto kiuchumi.

Baba bora ndiye huamua kwa kiasi kikubwa Future ya watoto wake. Hupigana kufa na kupona ili watoto wake watimize ndoto zao. Zamani kidogo Baba ndiye humsaidia mtoto wake wakiume kutafuta maisha kwa kumuongezea mtaji. Kama haitoshi Baba ndiye huhusika kwa asilimia mia moja katika ishu ya Kutoa Mahari kwa kijana wake. Hii ni kutokana na kuwa Kijana wake anaenda kuongeza ukoo wake.

Biblia inatuambia kuwa Mzazi mwema ni yule anayeacha urithi kwa watoto wake hata vizazi vitatu. Andiko hili linatoa chachu na ari kwa wanaume kufanya kazi kwa bidii kusudi wawapatie watoto na wajukuu wao urithi mwema. Pia maandiko hayo hayo matakatifu yanatuambia "Heri mtu asiyeamini kuliko yule ashindwaye kuhudumia watu wa kwao" Huyo ni paulo.

Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la Baba Jinga. Baba wenye kutoa sababu lukuki pindi linapokuja suala la majukumu yao. Wababa wengi wanakimbia majukumu yao. Kijana unayesoma sasa hivi ikiwa unamawazo ya kusaidiwa na watoto wako uzeeni ujue upo kwenye kundi la Baba Jinga. Hujui thamani ya jina "Baba".

Watu wengi hutegemea watoto wao. Huu ni ujinga na kuendekeza uvivu usiovumilika. Ujana wote unashindia pombe, unavaa nguo za gharama, unatembelea magari mazuri bila kuwekeza alafu uzeeni unaanza kusumbua watoto.

Wababa wa zamani licha ya kuwa hawakuenda shule lakini walijua kuwekeza kwenye kilimo, kwenye ufugaji na mambo mengine. Ndio maana ule msemo wa Jungu kuu halikosi ukoko ulikuwa ni halisi. Lakini kwa sasa Wababa wengi wanazembea sana. Unakuta mtu hafanyi kazi akiwa kijana mwenye nguvu anaanza kukurupuka akiwa na miaka 45+ huko. Hivi uliona wapi Watu wakipanda wakati wa mavuno. Uzee ni msimu wa kuvuna kile ulichokipanda.

Kama ulipanda zinaa basi utavuna maradhi kama ya mgongo, mfumo wa mkojo, magonjwa ya zinaa. Kama uliwekeza kwenye pombe basi jiandae kisukari, Shinikizo la damu. Hapa ndipo penye lawama hapa. Unakuta unaumwa halafu hauna hela ya matibabu. Ukicheki nyuma hukuwekeza. Kazi kulia lia kwa watoto. Amini amini nakuambia Hata utoe laana ya namna ipi haiwezi kufanikiwa na wewe mwenyewe utakuwa shahidi.

Hata Biblia haimtambui Mgane kama ni sehemu ya kupewa msaada. Mwenye haki ya kupewa ofa za uzeeni ni Mjane(Bibi). Babu(Mgane) Hatambuliki kwani ni Baba yaani anamuwakilisha Mungu. Sasa kama Mungu anapewa msaada sijui kwa kweli.

Vijana tunaoenda kuwa Baba tuwekeze jamani. Maisha ni mara moja. Umri unakimbia mbaya sana. Leo miaka 25 unasema muda upo unashangaa miaka 40 hii hapa ndio unashtuka. Usipende makubwa wakati wa kutafuta. Wenzako wananunua gari nawe umo. Wenzako wananunua Iphone sijui ngapi nawe umo. Wakati wewe ukifanya hayo ukifikiri ndio maisha wenzako wananunua hekari tatu kwa laki tisa. Baada ya miaka ishirini unashangaa wanamiliki si chini ya heka 50 unaona kama waliiba pesa kumbe ni akili. Wakati wa uzee wanaweza kuwarithisha watoto mashamba. Wewe unaanza kupiga mizinga watoto ujinga tuu.

Nabii Ibrahimu aliweza kutoa mahari kwa kijana wake Isack. Lakini leo ni Wababa wangapi wangiambiwa watoe hata ng'ombe kumi tuu kama mahari watakavyoanza kushikana mashati. Ujinga ni kutegemea watoto ilihali wewe ndiwe uliwaleta duniani.

Inatakiwa uwategemee watoto kwa kuendesha miradi yako uliyowaachia ili waweze kujikimu wa na familia zao. Huku wewe ukimsubiri Israeli mtoa roho kwa shauku kubwa. Hata Israel huwaogopaga wazee wa hivi. Kwani wamevipiga vita vizuri mwendo wameumaliza na mali wamezitunza. Sula la imani sitaliongelea kwa leo.


Vijana tupambane kwa kweli kupunguza Baba Jinga.

Nawasilisha.

Povu lolote linaruhusiwa nguo zipo nyingi za kufua
Kwamba amsubiri Israel kwa shauku kubwa
 
Habari wakuu!

Mtaniwia radhi kwa maneno makali na machungu nitakayoyatoa hapa. Lengo ni kuweka mambo sawa na kutufanya tujiandae mapema.

Hakuna jambo baya kama Baba kumtegemea Mtoto. Ni jambo la aibu tena aibu kubwa sana. Ni dalili ya laana na kuendekeza ujinga katika jamii. Ni fedheha kubwa sana Baba kumtegemea mtoto kiuchumi.

Baba bora ndiye huamua kwa kiasi kikubwa Future ya watoto wake. Hupigana kufa na kupona ili watoto wake watimize ndoto zao. Zamani kidogo Baba ndiye humsaidia mtoto wake wakiume kutafuta maisha kwa kumuongezea mtaji. Kama haitoshi Baba ndiye huhusika kwa asilimia mia moja katika ishu ya Kutoa Mahari kwa kijana wake. Hii ni kutokana na kuwa Kijana wake anaenda kuongeza ukoo wake.

Biblia inatuambia kuwa Mzazi mwema ni yule anayeacha urithi kwa watoto wake hata vizazi vitatu. Andiko hili linatoa chachu na ari kwa wanaume kufanya kazi kwa bidii kusudi wawapatie watoto na wajukuu wao urithi mwema. Pia maandiko hayo hayo matakatifu yanatuambia "Heri mtu asiyeamini kuliko yule ashindwaye kuhudumia watu wa kwao" Huyo ni paulo.

Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la Baba Jinga. Baba wenye kutoa sababu lukuki pindi linapokuja suala la majukumu yao. Wababa wengi wanakimbia majukumu yao. Kijana unayesoma sasa hivi ikiwa unamawazo ya kusaidiwa na watoto wako uzeeni ujue upo kwenye kundi la Baba Jinga. Hujui thamani ya jina "Baba".

Watu wengi hutegemea watoto wao. Huu ni ujinga na kuendekeza uvivu usiovumilika. Ujana wote unashindia pombe, unavaa nguo za gharama, unatembelea magari mazuri bila kuwekeza alafu uzeeni unaanza kusumbua watoto.

Wababa wa zamani licha ya kuwa hawakuenda shule lakini walijua kuwekeza kwenye kilimo, kwenye ufugaji na mambo mengine. Ndio maana ule msemo wa Jungu kuu halikosi ukoko ulikuwa ni halisi. Lakini kwa sasa Wababa wengi wanazembea sana. Unakuta mtu hafanyi kazi akiwa kijana mwenye nguvu anaanza kukurupuka akiwa na miaka 45+ huko. Hivi uliona wapi Watu wakipanda wakati wa mavuno. Uzee ni msimu wa kuvuna kile ulichokipanda.

Kama ulipanda zinaa basi utavuna maradhi kama ya mgongo, mfumo wa mkojo, magonjwa ya zinaa. Kama uliwekeza kwenye pombe basi jiandae kisukari, Shinikizo la damu. Hapa ndipo penye lawama hapa. Unakuta unaumwa halafu hauna hela ya matibabu. Ukicheki nyuma hukuwekeza. Kazi kulia lia kwa watoto. Amini amini nakuambia Hata utoe laana ya namna ipi haiwezi kufanikiwa na wewe mwenyewe utakuwa shahidi.

Hata Biblia haimtambui Mgane kama ni sehemu ya kupewa msaada. Mwenye haki ya kupewa ofa za uzeeni ni Mjane(Bibi). Babu(Mgane) Hatambuliki kwani ni Baba yaani anamuwakilisha Mungu. Sasa kama Mungu anapewa msaada sijui kwa kweli.

Vijana tunaoenda kuwa Baba tuwekeze jamani. Maisha ni mara moja. Umri unakimbia mbaya sana. Leo miaka 25 unasema muda upo unashangaa miaka 40 hii hapa ndio unashtuka. Usipende makubwa wakati wa kutafuta. Wenzako wananunua gari nawe umo. Wenzako wananunua Iphone sijui ngapi nawe umo. Wakati wewe ukifanya hayo ukifikiri ndio maisha wenzako wananunua hekari tatu kwa laki tisa. Baada ya miaka ishirini unashangaa wanamiliki si chini ya heka 50 unaona kama waliiba pesa kumbe ni akili. Wakati wa uzee wanaweza kuwarithisha watoto mashamba. Wewe unaanza kupiga mizinga watoto ujinga tuu.

Nabii Ibrahimu aliweza kutoa mahari kwa kijana wake Isack. Lakini leo ni Wababa wangapi wangiambiwa watoe hata ng'ombe kumi tuu kama mahari watakavyoanza kushikana mashati. Ujinga ni kutegemea watoto ilihali wewe ndiwe uliwaleta duniani.

Inatakiwa uwategemee watoto kwa kuendesha miradi yako uliyowaachia ili waweze kujikimu wa na familia zao. Huku wewe ukimsubiri Israeli mtoa roho kwa shauku kubwa. Hata Israel huwaogopaga wazee wa hivi. Kwani wamevipiga vita vizuri mwendo wameumaliza na mali wamezitunza. Sula la imani sitaliongelea kwa leo.


Vijana tupambane kwa kweli kupunguza Baba Jinga.

Nawasilisha.

Povu lolote linaruhusiwa nguo zipo nyingi za kufua
Naona mzee kazidi kukupiga mizinga mkuu mpaka umeona uanzishe thread ,ila wazee wengine wamezidi kwa kweli yani anakua kama anataka arudishe pesa zote alizotumia kukulea,mizinga kila kukicha na mbaya zaidi unakuta mzee ni mzima na ana nguvu zake tu ,kupigwa mizinga hatukatai ila iwe aste aste ,tutakua hatuendelei sasa kwa system hii
 
Watu wanamlaumu mtoa mada kadharau wazazi ila mi naona kaongea jambo jema na la kweli, .....vijana wengi sasa tunalea wazazi wetu kwa kuwa hawakuwekeza kwa sababu mbalimbali labda umaskin,ukubwa wa familia,maradhi etc,anachotushauri ni kwamba VIJANA TUWEKEZE TUSISUBIRI WATOTO WATUTUNZE UZEENI....mbona mifano mingi ipo mitaani wazee wanavyodhalilika hata hela ya panadol anakosa akiumwa,mtu huyu angekuwa na miradi endelevu hawez subir hadi watoto waitane wamsaidie....kama wewe unataka maisha hayo uzeeni endelea kupuyanga saizi ujanani
 
Watu wanamlaumu mtoa mada kadharau wazazi ila mi naona kaongea jambo jema na la kweli, .....vijana wengi sasa tunalea wazazi wetu kwa kuwa hawakuwekeza kwa sababu mbalimbali labda umaskin,ukubwa wa familia,maradhi etc,anachotushauri ni kwamba VIJANA TUWEKEZE TUSISUBIRI WATOTO WATUTUNZE UZEENI....mbona mifano mingi ipo mitaani wazee wanavyodhalilika hata hela ya panadol anakosa akiumwa,mtu huyu angekuwa na miradi endelevu hawez subir hadi watoto waitane wamsaidie....kama wewe unataka maisha hayo uzeeni endelea kupuyanga saizi ujanani


Wataelewa mbeleni huko.

Achana nao hao
 
Naona mzee kazidi kukupiga mizinga mkuu mpaka umeona uanzishe thread ,ila wazee wengine wamezidi kwa kweli yani anakua kama anataka arudishe pesa zote alizotumia kukulea,mizinga kila kukicha na mbaya zaidi unakuta mzee ni mzima na ana nguvu zake tu ,kupigwa mizinga hatukatai ila iwe aste aste ,tutakua hatuendelei sasa kwa system hii


Baba anamtegemeaje mtoto Kama sio upuuzi
 
Wanaume wa siku hizi wanaogopa sana majukumu hata kuoa tu mke asie na kazi hawawezi na akioa mwenye kazi anamwachia majukumu ya nyumbani.

Hao ndo watoto wakikua pia wanawahamishia watoto majukumu. Mwanaume mpambanaji anajua majukumu yake na anawajibika 100 percent kwa familia yake.
 
Wanaume wa siku hizi wanaogopa sana majukumu hata kuoa tu mke asie na kazi hawawezi na akioa mwenye kazi anamwachia majukumu ya nyumbani.

Hao ndo watoto wakikua pia wanawahamishia watoto majukumu. Mwanaume mpambanaji anajua majukumu yake na anawajibika 100 percent kwa familia yake.


Alafu wepesi kujifanya wanatoka laana. Pumbavu
 
Wazee wetu huko nyuma hawakuwa na makosa bali nyakati na na exposure ndogo ndio ziliwafikisha hapo hatuna haja kuwalaumu ni kuwaombea mbele za Mwenyezi Mungu awabariki na kuwasamehe makosa yao..

Kizazi cha sasa kuanzia miaka 50 kushuka chini tuna kila kitu na hatuna haja ya kushindwa kuandaa uzee na kuandaa vijana wetu... tuna exposure, nyakati bora, fursa za kutosha kinachotakiwa ni uthubutu na kujitoa kutengeneza maisha yako binafsi ya uzeeni na watoto wako..
 
sijui
baba alifyatua watoto 12 wewe wa kwanza amekusomesha kwa kuuza mashamba na mifugo
leo hii umepata kazi take home laki 6, hapo unatakiwa usomeshe wadogo zako na usaidie nyumbani
wewe upo mjini umepanga una mke na mtoto , mke hana kazi na ndugu zake wanakutegemea
Hapa hata usipologwa utaonekana umelogeka maana utaona mambo hayaendi wallah😂😂
 
Umeupiga mwingi mkuu, Tuwaheshimu tu hawa wazee wetu maana wametutangulia na ndiyo waliotuleta duniani Ila wengi wanafeli sana hapo.... imagine 17yrs nimeachana na masomo kwa kuwa walishindwa kuniendeleza basi wakanisukumia Dar kwa Ndugu kwa lengo la wao kuniendeleza japo kwenye ufundi, Nao kama kawaida baada ya muda majungu na visa vikaanza ikabidi niingie kwenye hustling za maisha baada ya wao kusikia tu nimepata kiajira tu Simu zikaanza kuita.
 
Baba mwema huacha urithi mpaka kwa wana wa wanae yaani wajukuu.

Hiyo ni kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu.

Sasa kama hadi wajukuu wanakuta mali ya babu/ bibi huyo baba atalalamika saaa ngapi? Mali zake zitazidi kumsaidia maisha yake yote.
Sasa ukiona baba analalamika kutokuhumiwa ujue hakuwajibika vyema mahali fulani kwenye maisha yake.
 
Back
Top Bottom