johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,148
Binafsi niliamini Naibu Spika Dkt. Tulia analiwakilisha bunge zima pale msibani kwa Balozi Kijazi kumbe nilikosea alikuwa anamwakilisha Spika wa bunge ambaye yuko mbali.
Nijuavyo mazishi siyo kama vikao vya serikali au chama ambavyo kuna watu ni lazima wahudhurie kwa mujibu wa vyeo vyao.
Kwenda msibani ni jambo la hiyari kwa namna Mungu alivyokujalia.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Nijuavyo mazishi siyo kama vikao vya serikali au chama ambavyo kuna watu ni lazima wahudhurie kwa mujibu wa vyeo vyao.
Kwenda msibani ni jambo la hiyari kwa namna Mungu alivyokujalia.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!