Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Wewe ndo mjinga, onesha hata barua moja ya mwaliko wa kuhudhuria msiba. Watu huenda msibani na wakikuona wanakupa heshima unayostahili na usipokwenda huulizwi.Ile ni shughuli ya kiserikali kama shughuli nyingine yoyote. Lazima ualikwe, haupeleki tu pua yako kwenye shughuli inayohudhuriwa na viongozi waandamizi wa serikali. Acha ujinga.