GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,718
- 18,138
HiyoSaa nyingine waeza kuta ni yule aliyezikosa zile mali ambazo zilisomeka kwa jina la Mama ake Hakimi basi akaamua atengeneze tukio.
All in all muda ndio utasema ukweli.
HiyoSaa nyingine waeza kuta ni yule aliyezikosa zile mali ambazo zilisomeka kwa jina la Mama ake Hakimi basi akaamua atengeneze tukio.
All in all muda ndio utasema ukweli.
Mara nyingi huwa ni wadada kugeuza story, na kufanya kama walibakwa. Lakini pia mataifa ya ulaya na Amerika sheria inamlinda sana mwanamke; hivi vya vijana wabongo mara unamshikashika mtoto wa kike, mara anajilembesha unanasa kwa mtego, hizo nyie munaita sijui kimasiara ulaya unapewa kesi ya ubakaji mapema sana. Tena kama wewe ni staa, mshiko upo usipodhibiti interaction zisizokuwa na tija, na watoto wa kike imekula kwako.Hawa mastaa huwa wanabakaje?