Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu

KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.

Nawapenda
na tunapendeka
 
Tunawathamini wanawake tunaokutana nao ikiwa hata hatuwajui. Mf, kumsaidia mwanamke mzigo, kumuachia kiti kwenye dala dala mjamzito ingawa alifanya kule kwa raha zake, hatunaga muda wa kuuliza
Na hilo pia ni moja ya jambo kubwa mlilopewa na M/Mungu roho ya kusaidia
 
Mwanaume hatuwezi kugegeda wanawake 5 kwa siku moja ila mwanamke anaweza kugegedwa na wanaume zaidi ya 5 kwa siku moja
 
Uko sawa mama! Wanawake wakikaa wawili lazima kinuke ila wanaume hata tuwe kumi maisha yanaenda tu
pia wanachelewa kuzoeana...

Nlishangaa sku1 jirani kuvuka kota 2 Kaja kwangu kuomba kitunguu nkakwambia mbona umevuka wanawake wenzio kwenye izo nyumba? Akanijibu hajawazoea Ila mie kanizoea na anakata Kama wiki3iv tokea aje!!!
Kwa wanaume tofauti Sana tunazoeana ndan ya dk2 tuu
 
1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu

KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.

Nawapenda


Hatujui kununiana 😀😀😀
 
1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu

KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.

Nawapenda
Mwanamke aliyebarikiwa ni mmoja tu, Bikira Maria.
 
Back
Top Bottom