Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Mimi ni mwanaume ila nikisapoti hiyo thread ni kumtukana mama yangu mzazi, na wewe uliyeandika unaonekana hauna mtoto kwaiyo bado unakua wewe!
Kwani hayo aliyoyaandika si ya kweli kwa mwanaume?
 
Wako kibishara, na biashara haichagui mteja
Ha ha ha
haijalishi ni biashara au siyo biashara hapo inaonyesha dhahiri kwamba mwanamke ana uwezo mkubwa wa kusex bila kumpenda anayesex nae
 
Ha ha ha
haijalishi ni biashara au siyo biashara hapo inaonyesha dhahiri kwamba mwanamke ana uwezo mkubwa wa kusex bila kumpenda anayesex nae
Sex for money not for leisure pale anakuwa amependa bob
 
Ndiooo, nenda huna hela kama atakukubalia
Hujanielewa Daudi,kwa kahaba nakubali kuwa yupo kibiashara.
Vipi kuhusu wanawake ambao siyo makahaba? wanafanya na wanaume wanaowapenda tu?
 
Hujanielewa Daudi,kwa kahaba nakubali kuwa yupo kibiashara.
Vipi kuhusu wanawake ambao siyo makahaba? wanafanya na wanaume wanaowapenda tu?
Kwa kiasi kikubwa mwanamke akikuvulia kyupi ujue amekukubal hata wewe haumpend
 
Kwa kiasi kikubwa mwanamke akikuvulia kyupi ujue amekukubal hata wewe haumpend
Ok nimekuelewa aisee
Hicho kiasi kidogo kinachobaki ndo unawaachia waleeeeeeeeeeeeeeee wa kimboka
 
Back
Top Bottom