Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Cha ajabu wanaume haohao ni tofauti nyingine ni wanaweza kupiga mzigo n a kichaa wakike mpaka wakamtwanga mimba, tofauti na kichaa wa kiume hawezi kuzini na mwanamke mwenye akili timamu hspo ndo najiuliza wanawake nipe jibu leo.
 
Yeye alieumba mtu mume,,, alimfinyanga kwa udongo na akampulizia pumzi ya uhai akawa kiumbe hai,,,, na alipoona mwanaume huyo hawezi kuishi peke yake,,, akamfanyia msaidizi wa kufanana nae,,, ndipo alipomuumba mwanamke kutoka kwenye ubavu wa mwanaume. Akawabariki akawapa majukumu kila mmoja kwa uwezo tofauti. Ndoo maana majukumu ya mwanaume na mwanamke ni tofauti tokea uumbaji. Lakini wote wamepewa uwezo wa kumudu majukumu yao vizuri. Hongereni wanaume na wanawake maana mmebarikiwa,, lakini ashukuriwe Muumba alie waumba wote kwa namna ya ajabu ya kila mmoja kumuhitaji mwenzake,,,
 
Unajua kuna tofauti ya kucheka na kuchekacheka,,huko kuchekacheka ni ugonjwa unaowasumbua sana mabinti waliowengi hasa mashuleni (boarding schools)na sababu kubwa inasemekana ni kuzidiwa na nye.ge
Hawa watoto si wanawekewaga mafuta ya taa kwenye chakula
 
2..naikubali kweli wanaume wanaugua kwa kiasi kidogo sana
lakini cha ajabu mwanamke ana maisha marefu kupita mwanaume,
miili ya mwanamke pamoja na kuugua ugua sana inajikuta imekua sugu kuhimili maradhi kuliko wanaume
 
Wanaume wana uwezo wa kuzaa watoto wa tano (5) kwa siku moja, kwa mfano akikutana na wanawake 5 kwa siku hiyo na wote wakapata ujauzito na wakabahatika kuzaa siku moja wote kwa pamoja ina maana huyo mwanamme amepata watoto watano kwa siku hiyo
 
Tunawathamini wanawake tunaokutana nao ikiwa hata hatuwajui. Mf, kumsaidia mwanamke mzigo, kumuachia kiti kwenye dala dala mjamzito ingawa alifanya kule kwa raha zake, hatunaga muda wa kuuliza
 
Back
Top Bottom