Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

I value all men in my life...
Waliopita, waliopo na watakaokuja!
Hawa viumbe ukiwapatia ni raha sana kua nao karibu.
Mkuu nadhani wew ndio mwanamke wa Kwanza kusifia uwepo wa wanaume, duh kumbe ugonjwa wa kucheka cheka kwa wanawake tiba yake ni wanaume!!!
 
No 1ilikuwa zamani kwa hizi chipsi na kuku wa miezi minne wamelegea kama nini na tena wamesababisha na zile kungu zetu zikapanda bei wanakula hatari , no 2kwa taarifa yako hakuna watu wanaumwa U.T.I siku hizi kama hawa jamaa bila kusahau tezi dume no nne unakumbuka yule mwanaume aliyebeba mimba marekani, vipi babaya yao wakina kim Kardashian?
Elton john chefuuuu usisahau samaki mmoja akioza .....
Kwa kifupi dunia kwa sasa inayumba yumba ni kumwomba Muumba atuepushe na haya ya sodoma
Pia hakuna tasa .....ka
 
Ongeza tena na hii, Mwanaume mzee wa miaka 70 anaweza kuoa binti mbichi wa miaka 22, lakini bibi kizee kikongwe wa miaka 60, hawezi kuolewa na kijana mdogo, mbichi wa miaka 25. Labda iwapo sababu ya kishirikina!
 
I value all men in my life...
Waliopita, waliopo na watakaokuja!
Hawa viumbe ukiwapatia ni raha sana kua nao karibu.
Bibie nimejikuta tu naupenda sana Huu ujumbe wako na kuvutiwa na wewe kiurafiki tu, Addition ladies hawajui ila tu kama unataka kuarchieve something kaa na Men Fair tu Na ukajiheshimu that's all
 
1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu

KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.

Nawapenda
Hata na ninyi wanawake pia mmebarikiwa pia

1.Kuvumilia mimba miezi 9 na mtoto anazaliwa salama

2.Kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja.

3. Kuwa walezi bora wa familia

4. Kutuvumilia wanaume pamoja na visa vyote tunavyowafanyia

5. Kuvumilia njaa kwa muda mrefu na njaa kuzidi sisi

6. Mwanamke mmoja kugonganisha wanaume zaidi ya wawili

7. Kuwa na roho ya huruma, unyenyekevu, upole na utaratibu...

8.Kuwa na uwezo wa kubadili tabia ya mwanaume kwa namna moja au nyingine hata aliyekubuhu kiasi gani..


Wanawake wote...Heshima kwenu!!
[HASHTAG]#MalkiaWaNguvu[/HASHTAG]
 
Hata na ninyi wanawake pia mmebarikiwa pia

1.Kuvumilia mimba miezi 9 na mtoto anazaliwa salama

2.Kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja.

3. Kuwa walezi bora wa familia

4. Kutuvumilia wanaume pamoja na visa vyote tunavyowafanyia

5. Kuvumilia njaa kwa muda mrefu na njaa kuzidi sisi

6. Mwanamke mmoja kugonganisha wanaume zaidi ya wawili

7. Kuwa na roho ya huruma, unyenyekevu, upole na utaratibu...

8.Kuwa na uwezo wa kubadili tabia ya mwanaume kwa namna moja au nyingine hata aliyekubuhu kiasi gani..


Wanawake wote...Heshima kwenu!!
[HASHTAG]#MalkiaWaNguvu[/HASHTAG]
Asante sana
 
Back
Top Bottom