Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu

KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.

Nawapenda

True, but for no: 4: You can achieve that, okay? I mean a Woman can achieve that usiwe inferior, na we love and respect you because of all that you are going through as a woman, God bless you for reminding us how special and important you people are!
 
1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu

KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.

Nawapenda
No 1ilikuwa zamani kwa hizi chipsi na kuku wa miezi minne wamelegea kama nini na tena wamesababisha na zile kungu zetu zikapanda bei wanakula hatari , no 2kwa taarifa yako hakuna watu wanaumwa U.T.I siku hizi kama hawa jamaa bila kusahau tezi dume no nne unakumbuka yule mwanaume aliyebeba mimba marekani, vipi babaya yao wakina kim Kardashian?
Elton john chefuuuu usisahau samaki mmoja akioza .....
Kwa kifupi dunia kwa sasa inayumba yumba ni kumwomba Muumba atuepushe na haya ya sodoma
 
Back
Top Bottom