Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Hakika wanaume mlibarikiwa,hongereni.

Tunawathamini wanawake tunaokutana nao ikiwa hata hatuwajui. Mf, kumsaidia mwanamke mzigo, kumuachia kiti kwenye dala dala mjamzito ingawa alifanya kule kwa raha zake, hatunaga muda wa kuuliza
Alafu kweli!!! Unakuta mmama kaingia kwenye daladala kabeba katoto kachanga, wanawake wote tunauchuna tena tunaongeza spidi ya kuchati tusionekane kama tumemuona.... Anatokea mkaka ndo anampisha siti! Duuh!!! Wanawake sisi!
 
pia wanachelewa kuzoeana...

Nlishangaa sku1 jirani kuvuka kota 2 Kaja kwangu kuomba kitunguu nkakwambia mbona umevuka wanawake wenzio kwenye izo nyumba? Akanijibu hajawazoea Ila mie kanizoea na anakata Kama wiki3iv tokea aje!!!
Kwa wanaume tofauti Sana tunazoeana ndan ya dk2 tuu

Tena siku 2 kwa mtu aliye busy! Otherwise mkuonana tu mkasalimiana tayari mshazieanaa
 
1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu

KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.

Nawapenda
note breastcancer ipo hadi kwa wanaume but kwa asilimia ndogo
 
Back
Top Bottom