Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Mbona umechangia....Kila nikitaka kuchangia uzi huu holy spirit ananiambia "caesar pls acha"
Sijui kwanini!
Mbona umechangia....Kila nikitaka kuchangia uzi huu holy spirit ananiambia "caesar pls acha"
Sijui kwanini!
AhahaaaWana uwezo wa kusex na mwanamke hata kama hawajampenda
Haya mkuu.
Hongera kwa kulitambua hilo
Mwanaume zikimzidi huwa hacheki cheki?
Hapo tayari kashakua na uwezo wa kufanya bila kupenda.Sasa si kwasabbu anataka kitu
Kabisa ilo mungu alitupendelea kuishi mda mref6 . Tunawahi kufa kabla ya wake zetu.
Chalii acha mbwembweKila nikitaka kuchangia uzi huu holy spirit ananiambia "caesar pls acha"
Sijui kwanini!
Inna mwenyeweeMadame "Klodia" na "Angelo" na "......"?
Labda ameliweka vibaya. .Wanawake huwa wanaugua kucheka cheka?
That's new wallah!
Lakini nyie je mnafanya kwa matamanio yoyote tu mradi umeosha runguHapo tayari kashakua na uwezo wa kufanya bila kupenda.
The issue siyo kupata kitu,ishu ni kufanya bila kumpenda unayefanya nae

Serengeti boys je?Pia hata mwanaume azeeke vip ana uwezo wa kuoa kabint kadooogo.... Ila kwa sisi kadr umr unavoenda soko linapungua
Kweli tena la mujer dimividaChalii acha mbwembwe
Hawajajaliwa unafki wa kijinga!
Siku hizi ni 50-50Lakini nyie je mnafanya kwa matamanio yoyote tu mradi umeosha rungu![]()
Yes wanawake ni sehemu ya mwili wa mwanaume kwa mujibu wa Bibilia kwahiyo sehemu ya kitu haiwezi kuwa kama kitu chenyewe.

Kwani uongo? Wanawake wanafki sana kuliko wanaume!Ile komenti yako ya kwanza tu, Nimekupenda bure... hii sasa nikajikuta nakuona kumbe ni imagination zangu tuu