Hakika Wachina wana Mungu wa Kweli

Sisi na dhiki zetu bado tunadanganywa na manabii uchwara kila tunachokipata tunawapelekea eti tupate baraka tunaishia dimbwi la umaskini wakati manabii uchwara hao wananunua hadi ndege
 
Wangekuwa na maendeleo wasingekuja kufanyakazi mpaka za umachinga na kusukuma mikokoteni Afrika
Habarini wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari siku nyingi juu ya uwepo wa Mungu. Lakini majibu bado ni utata mkubwa na kujazwa imani kila kukicha.

Watu weusi ndio kizazi pekee chenye imani ya dhati juu ya huyu Mungu asieonekana ambae tusadiki ndie Mungu wa kweli. Lakini cha kushangaza sijui tunakwama wapi. Tumekuwa tukizama kwenye maombi juu ya vitu vingi lakini matokeo ni sisimizi (yaani kidogo sana au hamna kabisa). Ila wenye imani huzidi kukutia moyo na kukwambia maombi yatajibiwa tu sio lazima wee ujue. Au watakwambia yalishajibiwa ila wee huna jicho la kiroho pengine hukujua. Kwa kweli ni mafumbo mengi na imani tuu na kudhania dhania ndiko kumetawala. Kimsingi nimechunguza binafsi imani hii, mtu maskini wala haimsaidii kiviile, sana naona ndo wanazidi kuwa maskini tu, sjui kwa nini.

Wenzetu WACHINA tumekuwa nao sawa kimaendeleo na kiuchumi mwanzoni mwa vita vya pili vya dunia. Hawa watu inasadikika hawana imani wala dini yeyote nchini mwao. Muasisi wa Taifa lao bwana Mao Tse dong inasemekana alipiga marufuku dini zote wakati wa ujenzi wa ujamaa wa china. Nchi ilipiga hatua kwa kasi ya ajabu hadi leo ni tishio duniani kiuchumi na maendeleo.

Maswali magumu ya kujiuliza, kwa hawa wachina;

1. Ni nani anawabariki wakati hawaamini katika Mungu na wala hawasali.?
2. Mbona kila siku wanafanya maendeleo makubwa wakati hata misikiti na makanisa hawana.?
3. Mbona sisi Waafrika tunamwamini Mungu wa Mbinguni na tunasali sana lakini hatupati baraka kama za wachina?
4. Waafrika tunakosea wapi hasa.? Au tunakosea namna ya kuabudu na kuendesha hizi dini.?

Wachina wameendelea kuishangaza dunia.

*Wameweza kujenga hospitali/ karantini kubwa duniani ya wagonjwa wa corona kwa wiki moja tu.
*Wameweza ku-wipe out/kuifutilia mbali corona kwa mda wa mwezi mmoja tu
*Wachina wanazidi kuwa tishio kiuchumi na kimaendeleo duniani kote kila kukicha.

Je, ni nani hasa Mentor wao? Kwanini hawa watu wanaodaiwa kukosa imani ya Mungu tumuabuduye sisi wanazidi kuchanja mbuga kwa kila kitu, ili hali sisi tuaminie tunazidi kuwa masikini?

Kwa maoni yangu kuna haja ya kufanya research juu ya huyu Mungu wa uchina awasaidiae ili kama vip nasi tu-adapt/tuige. Maana si kwa kufanikiwa huko.

Sijataka kuzama sana kwa undani kuhusu uchina kuepuka kuwachosha wasomaji na wachangiaji. Ila kimsingi wachina wanavitu ni hatari.

Karibuni wanajamvi tujadili kwa ajili ya kubadili mind set na kupanuana kifikra.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwepo wa Mungu haupimwi kwa maendeleo mkuu na Mungu katika kugawa ridhki humpa yoyote hasa wasio muamini uwepo wake mkuu
 
Wachina wana maisha magumu,kuliko unavyojuwa,mpaka wakala vyura,nyoka,popo,majongoo,ni vyakula vya porini,visivyohitaji pesa kununua.Japo vipo vinavyouzwa masokoni,kwa wenye uwezo wa kutoa pesa.
Hoja ipo hapa..Waje manabii na maskofu..waseme hapa!!Mungu akubarki na Mungu hatakubark kama humuchi..je Kwanini Mungu huwabark wabudu sanamu? Wachina wengi huubudu sanamu na Manyoka na Mavyura makubwa from Everest mountains!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu Mungu hatimaye anapimwa kwa maendeleo aliyonayo mtu.

Basi USA ndio wana mungu kweli.

MoDewji ana Mungu wa kweli kwasababu tajiri ila mbona Mungu huyohuyo ndio wangu then mimi masikini basi sio mungu wa kweli.
Mungu hayupo hizo Ni hadithi za wafia Dini... Mungu mwenye upendo ataruhusu vipi wewe upate shida ... Mbona hakuruhusu mwanae yesu ateseke milele akamfufua Wanaishi wote huko waliko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari siku nyingi juu ya uwepo wa Mungu. Lakini majibu bado ni utata mkubwa na kujazwa imani kila kukicha.

Watu weusi ndio kizazi pekee chenye imani ya dhati juu ya huyu Mungu asieonekana ambae tusadiki ndie Mungu wa kweli. Lakini cha kushangaza sijui tunakwama wapi. Tumekuwa tukizama kwenye maombi juu ya vitu vingi lakini matokeo ni sisimizi (yaani kidogo sana au hamna kabisa). Ila wenye imani huzidi kukutia moyo na kukwambia maombi yatajibiwa tu sio lazima wee ujue. Au watakwambia yalishajibiwa ila wee huna jicho la kiroho pengine hukujua. Kwa kweli ni mafumbo mengi na imani tuu na kudhania dhania ndiko kumetawala. Kimsingi nimechunguza binafsi imani hii, mtu maskini wala haimsaidii kiviile, sana naona ndo wanazidi kuwa maskini tu, sjui kwa nini.

Wenzetu WACHINA tumekuwa nao sawa kimaendeleo na kiuchumi mwanzoni mwa vita vya pili vya dunia. Hawa watu inasadikika hawana imani wala dini yeyote nchini mwao. Muasisi wa Taifa lao bwana Mao Tse dong inasemekana alipiga marufuku dini zote wakati wa ujenzi wa ujamaa wa china. Nchi ilipiga hatua kwa kasi ya ajabu hadi leo ni tishio duniani kiuchumi na maendeleo.

Maswali magumu ya kujiuliza, kwa hawa wachina;

1. Ni nani anawabariki wakati hawaamini katika Mungu na wala hawasali.?
2. Mbona kila siku wanafanya maendeleo makubwa wakati hata misikiti na makanisa hawana.?
3. Mbona sisi Waafrika tunamwamini Mungu wa Mbinguni na tunasali sana lakini hatupati baraka kama za wachina?
4. Waafrika tunakosea wapi hasa.? Au tunakosea namna ya kuabudu na kuendesha hizi dini.?

Wachina wameendelea kuishangaza dunia.

*Wameweza kujenga hospitali/ karantini kubwa duniani ya wagonjwa wa corona kwa wiki moja tu.
*Wameweza ku-wipe out/kuifutilia mbali corona kwa mda wa mwezi mmoja tu
*Wachina wanazidi kuwa tishio kiuchumi na kimaendeleo duniani kote kila kukicha.

Je, ni nani hasa Mentor wao? Kwanini hawa watu wanaodaiwa kukosa imani ya Mungu tumuabuduye sisi wanazidi kuchanja mbuga kwa kila kitu, ili hali sisi tuaminie tunazidi kuwa masikini?

Kwa maoni yangu kuna haja ya kufanya research juu ya huyu Mungu wa uchina awasaidiae ili kama vip nasi tu-adapt/tuige. Maana si kwa kufanikiwa huko.

Sijataka kuzama sana kwa undani kuhusu uchina kuepuka kuwachosha wasomaji na wachangiaji. Ila kimsingi wachina wanavitu ni hatari.

Karibuni wanajamvi tujadili kwa ajili ya kubadili mind set na kupanuana kifikra.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni tahira wachina wamekufa wangapi na Africa wamekufa wangapi mpaka sasa...??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waarabu Wote Wana Mungu mbona amewabariki ??
Israel Wana Mungu Mbona amewabariki ??
Waarabu wamebarikiwa ???

Hujui hao ndio wakimbizi wengi duniani ? Kwanini Huyo Mungu asistopishe Vita Syria ? Iraq, Pakistan n.k ... Huyo mungu anaruhusu mamia kwa maelfu ya watoto na wanawake wafe bila hatia... Kwanini asiwapige upofu Marekani.

Dola kubwa ya kiislam ya Saud Arabia amekuwa akifadhili makundi ya kigaidi ina maana Mungu haoni ... Saudi amekuwa akishirikiana na Marekani kuchochea fujo mashariko ya Kati , kwanini Huyo mungu haoni .. Au amezeeka maana hata kwa akili ya kibinadam wewe usingeruhusu huu uonevu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Religious teaching, the teachings of religion matters when it comes to development. As one of Karl Marx well known statement about religion being opium of the people because of its ability to shape individuals and structure mass psychology. Teachings from religion are what adherents believe. While other religions preach about acquiring material wealth, other religions preach about seeking first the Kingdom of God (Keeners S, 1993).
For example in the New Testament there are verses which I can use to explain how religion teaching may influence development like, Luke Chapter 6 verse 20 to 26, Blessed are you who are poor for yours is the Kingdom of God. Blessed are you who hunger for you will be satisfied. Blessed are you who weep now, for you will laugh.
Based on these verses is to mean that its very difficult for the rich to see the Kingdom of God. In other words blessings are for the poor, so in order to be blessed and have a share in Gods Kingdom you need to be poor. In other words the riches position to see the Kingdom of God is limited, as it was not made for rich but for the poor.
Again in Mathew chapter 6 verses 25 to 34, he wrote ’Therefore I say to you, do not worry about your life, what you will eat or what you will drink nor about your body, what you will put on....,. Look at birds of the air, for they neither sow nor reap no gather into barns; yet your heavenly Father feeds them.... But seek first the kingdom of God and his righteousness and all these things shall be added to you, Therefore, do not worry about tomorrow, for tomorrow will worry about its own things. Sufficient for the day is its own trouble.
Here people are taught not spend much time seeking wealth, prosperity but seeking God, there after material wealth will come. From these teaching believers are assured of God being aware of what they think about their life (Barro at el, 2003). So he will provide them with food, drinks and clothes (basic needs) as he does for birds of the air.
However, the case is so different with believers who believe in protestant ethics who according to Max Weber believe in working hard, saving and being frugal. The covenants believe in providing good education for children, investing to make profit and postponing enjoyments (Fee & Stuart, 2003).
Therefore, for the followers who are taught of seeking first the Kingdom of God and stay unworried about the life are likely to be poor while those who are taught of seeking wealth are likely to be rich.

So the whole world isnt developed because of different religious teachings, as most of the least developing countries religious teaching focus on seeking the Kingdom of God.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokuamini MUNGU si tatizo maana ni uchaguzi. Ila kuishawishi jamii isiamini MUNGU ni tatizo sana na inaweza kutishia hata uwepo wa kiumbe binadamu duniani.

Embu fikiri tu, tugeuze mafundisho yote ya dini kuwa kinyume, mfano usiue, usizini, usiibe n.k.

leo hii ikikubalika kwamba hakuna MUNGU unajua nn kitafuata? Binadamu wataabudu binadamu aliye na nguvu. Kutakuwa hakuna maraisi bali kuna mungu wa Tz, Kenya, Ug au mungu wa Africa.

Kama ww ni mpenzi wa documentaries na movies lazima itakuwa umeshakutana na jamii zinazoabudu binadamu zinavyokuwa.

Uwe muamini au la, tunahitaji jamii ambayo watu wake na viongozi wana hofu ya MUNGU.

Kwani Usiibe usizini ilikuwa haipo mpaka dini zilipoanza.?

You sound that Religion has brought everything to human kind ! S
 
Kwani Usiibe usizini ilikuwa haipo mpaka dini zilipoanza.?

You sound that Religion has brought everything to human kind ! S
Ndio, imani na dini ndo ilileta stability na jamii kuishi pamoja kwa hofu ya kumkosea mungu.

Inawezekana unawaza dini in form ya ukristo na uislamu. Mm naongelea hofu ya MUNGU au mungu yeyote yule as long as huyo mungu si binadamu.

Zamani kabla ya dini hizi tuzijuazo palikuwapo na mizimu na watu waliiabudu na kutii sheria za mizimu kupitia masangoma. Hiyo ilikuwa dini ya wakati huo. Otherwise bila hofu ya MUNGU binadamu angemla nyama binadamu kama kitoweo.
 
Nimesoma seminary ila nilikuwa nashanga mapadre wanatuambia kuwa hata ukikesha kanisani unasali huwezi faulu kumzidi aliyekesha anasoma.

Hata biblia inasema kila mtu ale kwa jasho lake. Na asiyefanya kazi na asile. Sasa waafrica wanakesha kanisani hawataki kazi ila wanataka maendeleo. China miji yao hailali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari siku nyingi juu ya uwepo wa Mungu. Lakini majibu bado ni utata mkubwa na kujazwa imani kila kukicha.

Watu weusi ndio kizazi pekee chenye imani ya dhati juu ya huyu Mungu asieonekana ambae tusadiki ndie Mungu wa kweli. Lakini cha kushangaza sijui tunakwama wapi. Tumekuwa tukizama kwenye maombi juu ya vitu vingi lakini matokeo ni sisimizi (yaani kidogo sana au hamna kabisa).

Ila wenye imani huzidi kukutia moyo na kukwambia maombi yatajibiwa tu sio lazima wee ujue. Au watakwambia yalishajibiwa ila wee huna jicho la kiroho pengine hukujua. Kwa kweli ni mafumbo mengi na imani tuu na kudhania dhania ndiko kumetawala. Kimsingi nimechunguza binafsi imani hii, mtu maskini wala haimsaidii kiviile, sana naona ndo wanazidi kuwa maskini tu, sjui kwa nini.

Wenzetu WACHINA tumekuwa nao sawa kimaendeleo na kiuchumi mwanzoni mwa vita vya pili vya dunia. Hawa watu inasadikika hawana imani wala dini yeyote nchini mwao. Muasisi wa Taifa lao bwana Mao Tse dong inasemekana alipiga marufuku dini zote wakati wa ujenzi wa ujamaa wa china. Nchi ilipiga hatua kwa kasi ya ajabu hadi leo ni tishio duniani kiuchumi na maendeleo.

Maswali magumu ya kujiuliza, kwa hawa wachina;

1. Ni nani anawabariki wakati hawaamini katika Mungu na wala hawasali.?
2. Mbona kila siku wanafanya maendeleo makubwa wakati hata misikiti na makanisa hawana.?
3. Mbona sisi Waafrika tunamwamini Mungu wa Mbinguni na tunasali sana lakini hatupati baraka kama za wachina?
4. Waafrika tunakosea wapi hasa.? Au tunakosea namna ya kuabudu na kuendesha hizi dini.?

Wachina wameendelea kuishangaza dunia.

*Wameweza kujenga hospitali/ karantini kubwa duniani ya wagonjwa wa corona kwa wiki moja tu.
*Wameweza ku-wipe out/kuifutilia mbali corona kwa mda wa mwezi mmoja tu
*Wachina wanazidi kuwa tishio kiuchumi na kimaendeleo duniani kote kila kukicha.

Je, ni nani hasa Mentor wao? Kwanini hawa watu wanaodaiwa kukosa imani ya Mungu tumuabuduye sisi wanazidi kuchanja mbuga kwa kila kitu, ili hali sisi tuaminie tunazidi kuwa masikini?

Kwa maoni yangu kuna haja ya kufanya research juu ya huyu Mungu wa uchina awasaidiae ili kama vip nasi tu-adapt/tuige. Maana si kwa kufanikiwa huko.

Sijataka kuzama sana kwa undani kuhusu uchina kuepuka kuwachosha wasomaji na wachangiaji. Ila kimsingi wachina wanavitu ni hatari.

Karibuni wanajamvi tujadili kwa ajili ya kubadili mind set na kupanuana kifikra.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hatujawahi hata siku moja kuwa sawa na China kiuchumi hizo Ni stereotype, China imeeendelea siku nyingi japo c kwa kiwango Kama walichonacho Sasa, toka Vita vya pili wao tayari walikuwa na flyover etc
 
Wewe mkristo? Sikia, hapo ulipo ni kama mfungwa wa fikra. Itafute ile kweli nawe utakuwa huru. Tafuta maarifa usijeangamia
Habarini wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari siku nyingi juu ya uwepo wa Mungu. Lakini majibu bado ni utata mkubwa na kujazwa imani kila kukicha.

Watu weusi ndio kizazi pekee chenye imani ya dhati juu ya huyu Mungu asieonekana ambae tusadiki ndie Mungu wa kweli. Lakini cha kushangaza sijui tunakwama wapi. Tumekuwa tukizama kwenye maombi juu ya vitu vingi lakini matokeo ni sisimizi (yaani kidogo sana au hamna kabisa).

Ila wenye imani huzidi kukutia moyo na kukwambia maombi yatajibiwa tu sio lazima wee ujue. Au watakwambia yalishajibiwa ila wee huna jicho la kiroho pengine hukujua. Kwa kweli ni mafumbo mengi na imani tuu na kudhania dhania ndiko kumetawala. Kimsingi nimechunguza binafsi imani hii, mtu maskini wala haimsaidii kiviile, sana naona ndo wanazidi kuwa maskini tu, sjui kwa nini.

Wenzetu WACHINA tumekuwa nao sawa kimaendeleo na kiuchumi mwanzoni mwa vita vya pili vya dunia. Hawa watu inasadikika hawana imani wala dini yeyote nchini mwao. Muasisi wa Taifa lao bwana Mao Tse dong inasemekana alipiga marufuku dini zote wakati wa ujenzi wa ujamaa wa china. Nchi ilipiga hatua kwa kasi ya ajabu hadi leo ni tishio duniani kiuchumi na maendeleo.

Maswali magumu ya kujiuliza, kwa hawa wachina;

1. Ni nani anawabariki wakati hawaamini katika Mungu na wala hawasali.?
2. Mbona kila siku wanafanya maendeleo makubwa wakati hata misikiti na makanisa hawana.?
3. Mbona sisi Waafrika tunamwamini Mungu wa Mbinguni na tunasali sana lakini hatupati baraka kama za wachina?
4. Waafrika tunakosea wapi hasa.? Au tunakosea namna ya kuabudu na kuendesha hizi dini.?

Wachina wameendelea kuishangaza dunia.

*Wameweza kujenga hospitali/ karantini kubwa duniani ya wagonjwa wa corona kwa wiki moja tu.
*Wameweza ku-wipe out/kuifutilia mbali corona kwa mda wa mwezi mmoja tu
*Wachina wanazidi kuwa tishio kiuchumi na kimaendeleo duniani kote kila kukicha.

Je, ni nani hasa Mentor wao? Kwanini hawa watu wanaodaiwa kukosa imani ya Mungu tumuabuduye sisi wanazidi kuchanja mbuga kwa kila kitu, ili hali sisi tuaminie tunazidi kuwa masikini?

Kwa maoni yangu kuna haja ya kufanya research juu ya huyu Mungu wa uchina awasaidiae ili kama vip nasi tu-adapt/tuige. Maana si kwa kufanikiwa huko.

Sijataka kuzama sana kwa undani kuhusu uchina kuepuka kuwachosha wasomaji na wachangiaji. Ila kimsingi wachina wanavitu ni hatari.

Karibuni wanajamvi tujadili kwa ajili ya kubadili mind set na kupanuana kifikra.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwe narrow minded, wachina hawajawahi kuwa sawa kimaendeleo na jamii yeyote ya Africa katika kipindi chochote cha maisha ya dunia, walikuwa na ancient civilization iliyokuwa na philosophers wa kubwa wanaoheshimika mpaka leo, traditional medical experts waliobobea, architectural designs za kuushangaza ulimwengu refers to great wall, na mengineyo kibao yanayowazjidi hadi mabeberu!

Sent using Jamii Forums mobile app
What about great wall of Zimbabwe? What about the pyramid, what about the African medicine which are still around each corner of Africa.What about language formation, There are thousands of local languages in Africa.What about music.
So many things which ancient China did have.
 
Jibu la mleta mada liko pale pale kwamba hata huku Africa ili uwe tajiri lazima uloge! China pamoja na kwamba hawamjui Mungu wa wakristo na yule wa waislamu lakini wanaimani zao za miungu ya sanamu kwenye temple zao katika ngazi ya familia na koo! Wanatraditions za kuabudu za juuu sana na zimejengewa masanamu na mahekalu watu uabudu na kuzitolea sanaka!

Kwa mukutadha huo China wanaabudu miungu yao ya sanamu na mwingine ana sura ya kiongozi wa kwanza Mao The Tung na anaabudiwa katika ngazi ya juu sana kama mungu! Kwa wakristo tunaamini kama huna Yesu waliobaki wote ni miungu (mashetani) na yana nguvu ya kutajirisha ndo maana hata katika ujenzi wa majengo makubwa na madaraja wachina ufanya makafara usiku!
Hats majengo makubwa yaTanzanua makafara hufanyikika.
Conspiracy
1.Ujenzi was soko kubwa mbea uluambatana na mauaji ya watoto wa kike mjini wa tukuyu
2.Ujenzi wa soklo kubwa la njombe matukio ya kuibwa watoto yalijitokeza.
Hearsay.
Kumekuwa na imani potofu kuwa kila jengo kubwa la mtu yeyote lazima liambatane na makafara.
Hakuna uthibitisho wa mambo haya kwa savabu hakuna ushahidi wa kusapoti.Hivyo kisayansi hutakiwi kuamini vitu visivyothibitika
 
Supermind,
mkuu wachina ni watu wa dini kama watu wengine tu duniani. Tofauti yao ni kuwa hawaaamini katika dini za wajukuu wa Abraham(uislamu na ukristo/ujudea(judaism). Wana imani zao za mababu na dini zenye asilia ya kwao au majirani zao wa karibu India.

China kuna mahekalu (temples) makubwa sana tu ya dini zao za u buddha (Buddhism), Taoism na Confucianism. Dini za mashariki ya kati (uislam/ukristo/judaism) pia zina wafuasi wengi tu ingawa zinapigwa vita kwa kiasu kikubwa.
Je, mimi mmatumbi na ngozi yangu nyeusi nikiamini hao miungu au dini za hao mababu zao na hao wachina nitasikilizwa kweli na hao miungu nisio na undugu nao?
 
Back
Top Bottom