Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Usiende mbali wakati Wakiristu tukiaminishwa Israel ni Taifa teule lakini ndilo taifa katili na wabaguzi mwanzo mwisho huku Waarabu na uislamu ndo kabisa sitaki hata kuusemea maana tapigwa ban. Ukweli dini hizi ni utumwa wa kiakili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
