Supermind
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 259
- 255
- Thread starter
- #61
Hao unaowaona huku mara nyingi kwao wanakua wameharibu. Na adhabu za huko ni kali vibaya. Hata hivyo maskini wa china sio ka wa huku akiwa kwao.Wangekuwa na maendeleo wasingekuja kufanyakazi mpaka za umachinga na kusukuma mikokoteni Afrika
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
