Hakika Wachina wana Mungu wa Kweli

Hakika Wachina wana Mungu wa Kweli

No Your still Learning Bud, Kwani China Imepata COVID19 Ndani Ya Mwezi Mmoja...? Ukifatilia Vzr ni Kwamba CHINA walianza kupata COVID 19 toka Mwezi Wa 12 Last Year.

Alafu Keep it in your mind That MUNGU hapimwi kwa Mafanyikio Unayoyaona Km Nyumba, Gari na vitu vyakuvutia km Hvy Bali Mungu Anapimwa Kwa Imani Za Wanadamu. (Mfano wa Kibiblia )AYUBU Alipimwa imani yake hili kujua Km Anampenda Mungu na Sio Mali zake.

Sent from my AUM-AL00 using Tapatalk
Kabla ya wewe kufanyika mimba unaweza tambua ulikokua...!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom