Bornventure
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 529
- 523
Nakumbuka kuna mwaka watu wa MBEYA walionekana kuwa kituko nchi hii pale walipotangaza uzinduzi wa Jengo na wakalinadi kuwa (Jengo la kwanza kuwa na Lift mkoani MBEYA) . nilichogundua ni kwamba WATANZANIA wote hatutofautiani na MBEYA na hii imethibitika wakati wa kuwasili kwa BOMBERDIER nchini .
Kweli bado nashangaa Kununua ndege 1 yenye kubeba watu 76 inakua ni shughuri ya Kitaifa !!!!??? Kweli ??? Mpaka marubani wanapokelewa kama diplomats flani !? Hivi nchi za wenzetu mf Kenya, uganda , Rwanda hawajawai kununua ndege !? Au nbomberdier ni ya kiwango cha juu saana !?. Kuna rafiki yangu mmalawi anaicheka sana Tanzania tangu Jana sasa najikuta nami kama nakubaliana nae hivi !
Kweli bado nashangaa Kununua ndege 1 yenye kubeba watu 76 inakua ni shughuri ya Kitaifa !!!!??? Kweli ??? Mpaka marubani wanapokelewa kama diplomats flani !? Hivi nchi za wenzetu mf Kenya, uganda , Rwanda hawajawai kununua ndege !? Au nbomberdier ni ya kiwango cha juu saana !?. Kuna rafiki yangu mmalawi anaicheka sana Tanzania tangu Jana sasa najikuta nami kama nakubaliana nae hivi !