Hakika Tanzania iko Dunia ya Tatu

Hakika Tanzania iko Dunia ya Tatu

Malawi Wana ndege ngapi?

Unaonaje na wewe ukihamia huko Malawi?
 
Mzungu akifanya kitu kidogo hata kuwapa pampasi za watoto wenu mnajikusanya kupiga nao picha eti wanawapenda ...ndege tena kenyewe "kamoja tu kadogo" kamenunuliwa watu hawaachi kukukusanyika kukapokea ...Hii ndio Afrika waliko watanzania. Hatujui tufanye nini na tuache lipi.

Hivi kwani tulitakiwa kufanya kipi alafu labda tusifanyeje tena?????
Mzungu akijipaka mavi watasema amependeza ila mtanzania akijipaka matope watasema mavi. Waafrika Ni watu waliochanganyikiwa hawajui wanataka Nini

Walisema Kikwete dhaifu kaja jiwe wanasema mgumu sana. Be careful you might get what you Wish for
 
Siku itakapotua Boeing iliyonunuliwa na Magu hiyo siku itakua ni national holiday.
 
Kadege kenyewe kametua kamechemka balaa kama kaa la moto ilibidi wakamwagie maji kukaponza
 
hilo siyo jibu nyau weye....Rais anapokea ndege outdated,wakati ilitakiwa ipokelewe na mkuu wa mkoa au waziri husika tu,hii ni sawa na kunywa soda siku ya sikukuu tu.
Aiseee...sisi bado mno ndo maana wanaoipenda ccm ni wajinga tu.
Acha dharau we kipapa mku ndu unakuwasha nini?kuna kitu cha ncha kali kama vipi njoo ukikalie.
 
Nadhani hii nchi inaenda kwa mtindo wa taarab(kutupiana vijembe).
Uzinduzi wa Jana ulikuwa kwa ajili ya wale waliokuwa wakiponda basi.
 
Back
Top Bottom