Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
sawa Yuko vzr ila mud a c mrefu atapotea kwenye game kwa ajili ya sembe
unga unaharibu sana vijana!...bella alikuwa anagonga sana sembe kabla hajaenda europe sina hakika kama anaendelea
sawa Yuko vzr ila mud a c mrefu atapotea kwenye game kwa ajili ya sembe
he is good jaman.japokuwa kuna maneno kua anakula sembe
hapo ndio ana haribu
Akitoka huko ni shinyanga,kahama alaf mwanza kwenye kili tour watapata burudani san.
Kitu cha Mamaa,Mamaa eeh
Umeona eeh! Yani hawa bongo flavour unaweza kuona utumbo tuu!jamaa nilienda kwenye live show yake siku moja...pale mango garden then night kali maisha club...toka siku hiyo bongo flavour inakua ngumu kwangu kuzipenda..
Umeona eeh! Yani hawa bongo flavour unaweza kuona utumbo tuu!
Jamaa anaimba live unaweza ukafikiri yuko studio ni hatari.
Nilienda show yake moja akaimba wimbo wake wa Asubuhi/usilie daa watu walikuwa wanatokwa na machozi, akaunganisha na hule Nakuhitaji...... Weee acha tuu.
huu wimbo mzuri sana na unanoga hasa ukiusikiliza ukiwa unakata gogo asubuhi...dah mi natoaga machozi kabisaaaa