so nasubiri apate scandal bal anatumia sembe mbona muda tuAiseeee kwa hiyo wewe una subiri apate scandal ya sembe?
Ni mwimbaji mzuri sana..Tatizo wanaojua Music Bongo ni wachache sana...
Mimi binafsi sijawahi kuipenda Bongo fleva..Sioni wanachofanya zaidi ya kupiga kelele..kuimba hawajui..
hahahahaha daaa uki hudhuria show za christian Bella unaweza kuacha kushabikia Bongo flavour
Umeona eeeh mkuu mpenda pombe, dimpoz ameutendea haki sana na amejita hidi sana!Duuuh... nimeusikia huu wimbo NANI KAMA MAMA...
MMMHHH... Bella anatishaaa... Dimpoz pia kajitahidi furukuta humo.. tofauti na Banana alipotezwa mbayaa...
Unaitwa Asubuhi!
"Christian Bella asubuhi himefika,sakumi na mbili, jogooo ameshawika ,kokorikoooo"
Ule wimbo alioimba na Banana ndio unanitoa roho hasa kwenye kiitikio.!!
Unaitwa Asubuhi!
"Christian Bella asubuhi himefika,sakumi na mbili, jogooo ameshawika ,kokorikoooo"
huu wimbo mzuri sana na unanoga hasa ukiusikiliza ukiwa unakata gogo asubuhi...dah mi natoaga machozi kabisaaaa
Ahahahahaaaa mkuu we ni noma nimecheka sana aisee.
huu wimbo mzuri sana na unanoga hasa ukiusikiliza ukiwa unakata gogo asubuhi...dah mi natoaga machozi kabisaaaa