Kwa hiyo anapaswa kutendewa ivyo alivyo tendewa?Huyo sio mnyama. Ni ndege.
Kwa hiyo anapaswa kutendewa ivyo alivyo tendewa?
Ndege si ana nyama pia au...!?
Viumbe hai vimegawanyika katika makundi makuu matatu. Ukiendelea kunyumbua utakuta kuku ni mnyama lakini katika kundi la ndege (kingdom animalia)....... au sio? biology std six umesahau?.Huyo sio mnyama. Ni ndege.
Ah! Hivyo eh! Mi nilikuwa sijui kuwa hata panzi ana nyama pia...!hata panzi ana nyama ila sio mnyama.
Atakachotendewa baada ya hapo naona ni kikubwa zaidi ya hicho.
Huyo sio mnyama. Ni ndege.
hapana mkuu jaribu kusikiliza hiyo clip ya magufuri kwangu juu usikie alivyosema!Tangu lini kukawa na haki za wanyama bongo??Hayo ndio maisha halisi ya hao viumbe!!!
Viumbe hai vimegawanyika katika makundi makuu matatu. Ukiendelea kunyumbua utakuta kuku ni mnyama lakini katika kundi la ndege (kingdom animalia)....... au sio? biology std six umesahau?.
Husninyo mamii umesoma biology kweli? OK hata kama si mnyama we unaona ni sawa huyu kuku alivyofungwa hivyo?
Lizzu,I guess haki za wanyama zipo hata hapa Bongo tatizo ni kwamba watu wengi hatujui haki zetu ndio iwe za wanyama?
Ingia hapa: List of animal names - Wikipedia, the free encyclopedianafikiri wewe ndio umesahau ila sitaki kubishana sana. Kama akipita mwana biology hapa atatuondolea huu utata.
nafikiri wewe ndio umesahau ila sitaki kubishana sana. Kama akipita mwana biology hapa atatuondolea huu utata.
nafikiri wewe ndio umesahau ila sitaki kubishana sana. Kama akipita mwana biology hapa atatuondolea huu utata.
Tupo pamoja mkuu!nimeelewa. Thanks.