Haji Manara anashikiliwa na Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam

Haji Manara anashikiliwa na Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
wakuu
======
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central.

Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
1749805153298.png
 
Kama heading inavyojieleza haji manara anashikiliwa kituo kikuu cha polisi dar (central)Kwa tuhuma za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
 
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central.

Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
View attachment 3366699View attachment 3366699
Wala hatokaa sana kwani tunajua Mstaafu wenu Mnafiki na Fisadi wa Bagamoyo Chalinze mwenye Urafiki mkubwa na Baba yake atapiga Simu na ataachiwa.
 
Back
Top Bottom