HahaaNo reform no election
Kijani mwenzao huyo hakuna kesi hapoNo reform no election
Wala hatokaa sana kwani tunajua Mstaafu wenu Mnafiki na Fisadi wa Bagamoyo Chalinze mwenye Urafiki mkubwa na Baba yake atapiga Simu na ataachiwa.Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central.
Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
View attachment 3366699View attachment 3366699
Itakuwa karibuniNi kosa la hivi karibuni au mambo ya nyuma huko?
Wanatutoa mchezoni sio?!Wamshikilie na nyeti zake pia tumechoka na drama
Nahisi ishu ya matako ya mwijakuNi kosa la hivi karibuni au mambo ya nyuma huko?
Ameshadhalilisha wengi hadi inakuwa vigumu kuelewa ishu ipi imemdakishaNi kosa la hivi karibuni au mambo ya nyuma huko?