Baada ya Mzumbe Advance akaenda kusomea wapi masomo ya Chuo Kikuu au akaishia hapo hapo?Haji manara kazaliwa Amsterdam Uholanzi, usimchukulie poa alipiga Moja ya point Saba o .level. Huyu jamaa kakipiga Nzumbe special school Advanced level. Pia Mwamba ni kichwa sana watu hawaelewi tu. Kuhusu mpira jamaa hajawahi kucheza popote professional football labda Amateur
Alienda Afrika ya Kusini kusomea mass communicationBaada ya Mzumbe Advance akaenda kusomea wapi masomo ya Chuo Kikuu au akaishia hapo hapo?
Kwa ulemavu wake ule hawezi kucheza hata netballHuyu Mwamba amewahi kucheza Soka enzi zake?
Mkuu labda umesahau alipotoka mzumbe alienda Ilboru Arusha na Pale ndo alipoanza kujihusisha na soka.Haji manara kazaliwa Amsterdam Uholanzi, usimchukulie poa alipiga Moja ya point Saba o .level. Huyu jamaa kakipiga Nzumbe special school Advanced level. Pia Mwamba ni kichwa sana watu hawaelewi tu. Kuhusu mpira jamaa hajawahi kucheza popote professional football labda Amateur
Chuo gani ?Alienda Afrika ya Kusini kusomea mass communication
Haji manara kazaliwa Amsterdam Uholanzi, usimchukulie poa alipiga Moja ya point Saba o .level. Huyu jamaa kakipiga Nzumbe special school Advanced level. Pia Mwamba ni kichwa sana watu hawaelewi tu. Kuhusu mpira jamaa hajawahi kucheza popote professional football labda Amateur
Iko hivi Haji Manara Alizaliwa Amsterdam na baada ya hapo alisoma IST elimu yake ya chini kabisa Sasa wewe endelea kupinga.Haji amesoma madrasa tu na akawa mwalimu wa madrasa