Nsaji Mpoki
JF-Expert Member
- Nov 5, 2007
- 396
- 65
Nyani ngabu
Hapana sijakubaliana na wewe,wasukuma hawakumtuma kuiba hiyo ni aibu yake na familia yake ambayo inaogelea kwenye ukwasi wakati wananchi waliomchagua wanakufa kwa ufukara.
Hapana sijakubaliana na wewe,wasukuma hawakumtuma kuiba hiyo ni aibu yake na familia yake ambayo inaogelea kwenye ukwasi wakati wananchi waliomchagua wanakufa kwa ufukara.