Kuna mtu anaitwa John Momose (msukuma)Cheyo.........alikuwa anatumia neno "mapesa" na hata tukampa jina Bwana Mapesa...........mbali na hiyo mi nakumbuka wasukuma wengi hutumia neno "mahela"....."mihela"........."mipesa"........."mapesa"........kusema vijisenti.....eti anawakilisha wasukuma!!!!! ah ah.....inabidi aombe msamaha wasukuma
....Yes ajiuzulu na Ubunge pia....i support that.....kwa faida ya chama chake
....Yes ajiuzulu na Ubunge pia....i support that.....kwa faida ya chama chake