Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

Hivi Messi kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, Roben au hata huyo James Rodriguez?

Kama kuibeba timu Di maria ndio alikuwa anaibeba timu.

FIFA wamezidi upendeleo!

Maradona mwenyewe hajakubaliana na tuzo ya messi, kasrma fifa wanafanya biashara ziad, cuz messi hajaonekana, il kumpandsha tena wakampa hyo tuzo,
ngoja niweke link
 
Angalau Robben alikuwa anastahili zaidi kuliko Messi.
 
Sasa aliyestahili ni nani?maana kila mtu anamtaja wake mara Roben mara James mara Muller mara Maschellano!sasa wangemchagua nani!nionavyo yeyote ambaye angechaguliwa angelalamikiwa
 
No musami Argentina ilibebwa na Di maria na mpaka kuingia nusu fainal na hata ka angecheza fainal angewasumbua sn german lkn kwa kuwa hakucheza credit hupungua hivo alibeba timu yake mtu mwingine ni Roben ndie aliyestahili kaka ila wameangalia jina tuu lkn hakustahili kabisaaaaaa
 
Nendeni ndani zaidi kujua vigezo vilivyotumika badala ya kulalama
 
Sasa aliyestahili ni nani?maana kila mtu anamtaja wake mara Roben mara James mara Muller mara Maschellano!sasa wangemchagua nani!nionavyo yeyote ambaye angechaguliwa angelalamikiwa
Kuna watu wana mahaba na baadhi ya wachezaji hasa Messi na Ronaldo...so muda wote watawachagua hao tu. Kwenye mashindano hayo waliodeserve hiyo tunu ni James Rodriques na Arjen Robben basi. Hizi za Messi ni mahaba tu.
 
Nendeni ndani zaidi kujua vigezo vilivyotumika badala ya kulalama

The outspoken former Argentina skipper feels Messi did not deserve to win the award.
''I would give heaven and earth to Leo, but when marketing people want him to win something he didn't (deserve to) win, it is unfair,'' Maradona said.
 
Maradona mwenyewe hajakubaliana na tuzo ya messi, kasrma fifa wanafanya biashara ziad, cuz messi hajaonekana, il kumpandsha tena wakampa hyo tuzo,
ngoja niweke link

Mpira umebadilika, kila watu na zama zao, Maradona hawezi kulinganishwa na Messi, mpira mbinu zmebadilika sana. Hivyo kwanza ni makosa kusema MARADONA mwenyewe yeye kama nani kwa zama hizi? Ana wivu sana, tena kaombea Argentina ishindwe ili Mess asichukue kombe na kocha asipate heshima ambayo yeye alishindwa kufika hata nusu fainali, kwa ujumla anatapatapa kuona wengine wanamfunika kwa mafanikio!
 
ndio ulazimishe iingie akilini sasa

Ngumu kumeza ...........!!" Soma hapa chini acha mahaba na Messi.

The outspoken former Argentina skipper feels Messi did not deserve to win the award.
''I would give heaven and earth to Leo, but when marketing people want him to win something he didn't (deserve to) win, it is unfair,'' Maradona said.
 
roben alikua anakabwa na wangap? .......... kwenye final aliachwa free amefanya nn?!

Yaani Roben apewe uchezaji bora kwa lipi? Cheating zote zile nani ampe huo uchezaji bora! Hastahili hata chembe!
 
Nimemsikia Shaffih Dauda akidai Messi alistahili tuzo hiyo kwa sababu Roben na Muller vigezo vyao vilikumbana na tabia zao za kujirusha ama kulalamikia maamuzi yanayotolewa.
 
Mpira umebadilika, kila watu na zama zao, Maradona hawezi kulinganishwa na Messi, mpira mbinu zmebadilika sana. Hivyo kwanza ni mako
sa kusema MARADONA mwenyewe yeye kama nani kwa zama hizi? Ana wivu sana, tena kaombea Argentina ishindwe ili Mess asichukue kombe na kocha asipate heshima ambayo yeye alishindwa kufika hata nusu fainali, kwa ujumla anatapatapa kuona wengine wanamfunika kwa mafanikio!

Sasa mbona hata Rais wa FIFA ameshangaa nae mesi kupewa tuzo
 
Hakika Fifa wana Mahaba na Mess duuu! Hii tunzo alistahili Roben kabisa! Huu ni ujinga kabisa!


Vigezo vilivyotumika ni vingi mfano magoli aliyofunga, ukamulifu wa passi, nafasi za magoli aliyotengeneza pamoja na nidhamu.Kwa vigezo hivyo ni kipi ambacho Ruben amemzidi Messi.
 
Mpira umebadilika, kila watu na zama zao, Maradona hawezi kulinganishwa na Messi, mpira mbinu zmebadilika sana. Hivyo kwanza ni makosa kusema MARADONA mwenyewe yeye kama nani kwa zama hizi? Ana wivu sana, tena kaombea Argentina ishindwe ili Mess asichukue kombe na kocha asipate heshima ambayo yeye alishindwa kufika hata nusu fainali, kwa ujumla anatapatapa kuona wengine wanamfunika kwa mafanikio!

Fifa is considering changing the voting procedure for the Golden Ball after the controversy surrounding the honour of the World Cup's best player being awarded to Lionel Messi.

"Shall I be diplomatic or tell you the truth?'' said Sepp Blatter, the Fifa president, after being asked about why the Fifa's technical study group voted for a player whose achievements were comfortably eclipsed by the likes of James Rodríguez, Thomas Müller and Toni Kroos, amongst others. "Listen, I was myself a little bit surprised when I saw Messi coming up for the Golden Ball,'' said Blatter.
 
Nimemsikia Shaffih Dauda akidai Messi alistahili tuzo hiyo kwa sababu Roben na Muller vigezo vyao vilikumbana na tabia zao za kujirusha ama kulalamikia maamuzi yanayotolewa.

blatter mwenyewe kashangaa!" sasa itakua huyo kiazi!"" shafii dauda ........ mropokaji 2, hana lolote.
 
Back
Top Bottom