Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

Hivi Messi kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, Roben au hata huyo James Rodriguez?

Kama kuibeba timu Di maria ndio alikuwa anaibeba timu.

FIFA wamezidi upendeleo!

Kila team ilimkaba Messi na si chini ya mabeki 6! Mchezaji mwingine kama Muller, Kroos, Gotze, Robben, RVP, Suarez, na wengine ni wazuri na Talented, lakini so far bado siyo threat kubwa kwa timu pinzani! Swali lako ulitakiwa kwanza ujiulize kwa nini kila team pinzani makocha iliandaa mabeki mahsusi SIYO CHINI YA WATATU kumchunga Messi! Ukipata jibu la swali hilo basi utaelewa kwa nini Lionel Messi tena!
 
Watu wanachekesha sana. Wanalalamika kupewa Messi sasa wampe nani? Gotze kwa sababu ya goli la fainali? Muller kwa kufunga lakini assist na football skills ambazo ni unique hana, Robben udanganyifu ni mwingi,Rodriguez kafunga magoli mengi pia lakini skills zake zinamfikia Messi? CR7 timu yake iliondolewa mapema. Messi alistahili!
 
Unasumbuliwa na chuki dhidi ya Messi, vigezo vilivyotumika kuchagua kwa asilimia kubwa anavyo yeye. Wewe endelea na chuki zako tu.

Hata yule Manara mchambuz wa WC anachuki na Messi hadi unashangaa!
 
Hakika Fifa wana Mahaba na Mess duuu! Hii tunzo alistahili Roben kabisa! Huu ni ujinga kabisa!
 
sema wewe ni vigezo gani vimetumika...hata iweje hawezi kufikia level za akina pele na maradona...eti mess ni zaidi ya maradona hahahha kombe la dunia hawezi kulishika mpaka mwisho wa uhai wake....best player for me is muller.

Kwa vigezo gani
 
Kila team ilimkaba Messi na si chini ya mabeki 6!Mchezaji mwingine kama Muller, Kroos, Gotze, Robben, RVP, Suarez, na wengine ni wazuri na Talented, lakini so far bado siyo threat kubwa kwa timu pinzani! Swali lako ulitakiwa kwanza ujiulize kwa nini kila team pinzani makocha iliandaa mabeki mahsusi SIYO CHINI YA WATATU kumchunga Messi! Ukipata jibu la swali hilo basi utaelewa kwa nini Lionel Messi tena!

roben alikua anakabwa na wangap? .......... kwenye final aliachwa free amefanya nn?!
 
Ndiyo maana watu wanasema kuwa FIFA si chombo imara, wao wanachagua mchezaji kutokana na hisia kuwa Messi atafanya vizuri kombe lijalo la dunia hivyo tumchague yeye kuwa mchezaji bora. It;s a shame ila kwa kweli FIFA has to disband. Tujiulize: hivi kweli Messi aliwazidi kina Robben, Muller, Di Maria, Tim Howard, Rodriguez mpaka kuwa mchezaji bora?
 
Kila team ilimkaba Messi na si chini ya mabeki 6! Mchezaji mwingine kama Muller, Kroos, Gotze, Robben, RVP, Suarez, na wengine ni wazuri na Talented, lakini so far bado siyo threat kubwa kwa timu pinzani! Swali lako ulitakiwa kwanza ujiulize kwa nini kila team pinzani makocha iliandaa mabeki mahsusi SIYO CHINI YA WATATU kumchunga Messi! Ukipata jibu la swali hilo basi utaelewa kwa nini Lionel Messi tena!
Mkuu unaleta habari za mpira wa mchangani hapa
Utaandaaje mabeki watatu kumkaba mtu mmoja?
 
nikusaidie tu, baadhi ya vigezo vilivyotumika, ni idadi ya magoli ya kufunga, na idadi ya pasi alizotoa kusaidia goli kufunguwa, idadi ya pasi sahihi alizotoa, n.k

Hivi vigezo umeviokota wapi mkuu
Overall performance ndio ina matter, jinsi gani uliibeba timu
Na ndio maana anaweza kuchaguliwa hata beki au kipa
 
Hivi vigezo umeviokota wapi mkuu
Overall performance ndio ina matter, jinsi gani uliibeba timu
Na ndio maana anaweza kuchaguliwa hata beki au kipa

sasa messi aliibeba timu kivp?! ........... na MASCHERANO 2mzungumzieje!"

bora hata huyu kwnye picha hapo chini, hiyo tuzo alistahili.
 

Attachments

  • Golden teeth.jpg
    Golden teeth.jpg
    12.3 KB · Views: 109
Hivi Messi kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, Roben au hata huyo James Rodriguez?

Kama kuibeba timu Di maria ndio alikuwa anaibeba timu.

FIFA wamezidi upendeleo!

Kama ulisikia vizuri maneno haya: 'Fifa /Adidas Player of the tounament ............basi jibu liko hapo !
ni siasa za adidas ! Kidume
 
Last edited by a moderator:
Hivi Messi kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, Roben au hata huyo James Rodriguez?

Kama kuibeba timu Di maria ndio alikuwa anaibeba timu.

FIFA wamezidi upendeleo!

ubongo wako wa pentium I hauwezi kuchakata zaidi ya hapo unaishia 4bits
 
Ndiyo maana watu wanasema kuwa FIFA si chombo imara, wao wanachagua mchezaji kutokana na hisia kuwa Messi atafanya vizuri kombe lijalo la dunia hivyo tumchague yeye kuwa mchezaji bora. It;s a shame ila kwa kweli FIFA has to disband. Tujiulize: hivi kweli Messi aliwazidi kina Robben, Muller, Di Maria, Tim Howard, Rodriguez mpaka kuwa mchezaji bora?

Robben is a fifty % player Messi is a complete one, case closed.
 
Kabla hujatoa tamko kama hilo hadharani ongelea vigezo vilivyotumika na uonyeshe jinsi ambavyo aliyekuwa na vigezo hivyo kumshinda Messi alidhulumiwa. Kwa taarifa ni kuwa vigezo ni pamoja na kufunga magoli, kutoa pasi za mwisho kupata goli, kutokupoteza pasi na kucheza vizuri kwa ujumla. Na vigezo hivi vinatumika KILA MECHI ndio maana kila mechi kuna "man of the match". Sasa ndugu yangu, hao kina Robben, Muller, au Rodrigues walikuwa "man of the match" mara ngapi? Yeye Messi alikuwa man of the match mara 4 katika fainali hizo. Ni mchezaji yupi aliyemzidi Messi kuwa "man of the match"? Kama hakuna nadhani HAKUNA HOJA ya kuhoji ushindi wa Messi. Kwa wale wenye kumbukumbu wakati fainali kama hizi zilipofanyika Korea na Japan aliyeshinda uchezaji bora alikuwa GOLIKIPA Oliver Khan wa Germany. This was IN ADDITION to being the best goalkeeper. Hakufunga goli hata moja na nchi yake haikuchukua ubingwa waliochukua ubingwa walikuwa Brazil. Tena mbaya zaidi ile mechi ya finali Khan alifanya uzembe na kusababisha goli la kwanza lakini kwa vile overall alicheza vizuri katika mashindano bado tuzo yake aliipata. Hakupata Ronaldo de Lima wala Rivaldo ambao walikuwa na magoli mengi na nchi yao ikatwaa kombe. Wala hakuwa Ronaldinho ambaye wakati ule alikuwa star kwenye timu ya Brazil. Wengine wanadai CNN, BBC, etc wameponda tuzo ya Messi. Sio misimamo ya hizo TV station bali ni baadhi ya watu waliotoa maoni yao kwenye hizo Tv stations. Ni kama hapa JF , mtu hawezi kusema kuwa JF wameponda tuzo ya Messi kwa vile wewe umeiponda.

Kunajamaa ameuliza hivi tusaidie majibu.Top Scorer? -No Top Assist? -No Most Passes? -No Most Chances Created? -No Win World Cup? -No Goal in Final? -No Goal in Knock out stage? -No Goal against big teams? -No Performance in Final Match? -Flop Performance in Semi Final match? -Flop Performance in Quarterfinal Match? -Flop Still won the Adidas Golden Ball!! Why????
 
Kama ulisikia vizuri maneno haya: 'Fifa /Adidas Player of the tounament ............basi jibu liko hapo !
ni siasa za adidas ! Kidume

nimekusoma mkuu ..........

kwa hiyo adidas wameona wampe cha kufutia machozi, kw kua mwenzie CR7 kachukua za kutosha
1. Mfungaji bora UEFA
2. Amevunja record y magoli UEFA
3. Mfungaji bora LA LIGA
4. Amechukua Ballon d'Or

Poor Pre-mature messi.
 
Last edited by a moderator:
World Cup -

Sepp Blatter and Diego Maradona have admitted they were surprised to see Lionel Messi awarded the prize for the best player at the World Cup.
And FIFA president Blatter conceded he was surprised FIFA's technical study group had given the Argentina skipper the prize.
"I was myself a little bit surprised when I saw Messi coming up to collect the best player of competition," said the head of FIFA, who was handing out the awards in the stadium after the match.

The outspoken former Argentina skipper feels Messi did not deserve to win the award.
''I would give heaven and earth to Leo, but when marketing people want him to win something he didn't (deserve to) win, it is unfair,'' Maradona said.
''I could see that he didn't want to go up and collect it (the award).''
.....
Daily mail..
The decision to award the Golden Ball for the 2014 World Cup's best player to Argentina forward Lionel Messi has been greeted with surprise in many quarters.

Messi performed well in the group stages, scoring four goals in three games against Bosnia, Iran and Nigeria but his star has faded since, with the Barcelona star failing to find the net in knockout matches against Switzerland, Belgium, Holland and Germany.

In the final against Germany, Messi flashed one gilt-edged opportunity wide but otherwise struggled to influence proceedings.

Former England captain Rio Ferdinand said on the BBC: 'I would have gone with James Rodriguez. He has played that exciting, attacking football and he has been trying to hurt the opposition. Messi has had some magic moments but you want them consistently.'

Speaking on his final appearance as a BBC pundit, Alan Hansen echoed Ferdinand's sentiments, stating: 'I didn't think Messi has done enough. Four or five of the Germans have played better over the tournament.'

BBC: 'I would have gone with James Rodriguez. He has played that exciting, attacking football and he has been trying to hurt the opposition. Messi has had some magic moments but you want them consistently.'

Speaking on his final appearance as a BBC pundit, Alan Hansen echoed Ferdinand's sentiments, stating: 'I didn't think Messi has done enough. Four or five of the Germans have played better over the tournament.'
 
Mkuu una maanisha nini unaposema ame-underpeform? Kati yq mechi 5 za Argentina before final, messi kawa man of the match kwenye game 4. Hebu clarify definition yako ya performance.
Blatter na maradona wenyewe wamesema hastaili..
 
kaka sio lazima afunge angalia mchango wke ktk timu,umeangalia mechi za argntina kwel? Asingekuwa yy hyo timu isingefika hapo! Na sio yy 2 angalia hata uruguay ambapo suarez hakucheza na ambapo alicheza.
Frenkly speaking waliokuwa wana stahili hyo 2zo ni mess na robben bt ukiangalia rubn hakufika fainal.so ni sahihi kabisa kumpa mess
Kweli wabongo ushabiki umetuzidi..maradona, lineker, blatter, nesta wamesema pia hastaili..mess hakupeeform compared na mullar, roben, james rodrogez, mascherano na hata shwaini
 
Back
Top Bottom