Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

Robben is a fifty % player Messi is a complete one, case closed.


Robben drove Uholanzi. Messi aliflopp kuanzia raundi ya pili mpaka fainali, why ashinde kuwa mchezaji bora? Ukiangalia katika mechi kali si kombe la dunia tu hata Copa America Messi hatambi na hana inflence. Sishangai kusikia kumbe hata Sepp Blatter naye alishangazwa kwa Messi kuwa mchezaji bora wakati he wasn't.
 
Robben drove Uholanzi. Messi aliflopp kuanzia raundi ya pili mpaka fainali, why ashinde kuwa mchezaji bora? Ukiangalia katika mechi kali si kombe la dunia tu hata Copa America Messi hatambi na hana inflence. Sishangai kusikia kumbe hata Sepp Blatter naye alishangazwa kwa Messi kuwa mchezaji bora wakati he wasn't.
Messi mwenyewe alivyotajwa mchezaj bora alikua anaona aibu kwenda kuchukua tuzo!"
 
10513261_659768800743110_2676220087216694028_n.jpg
 
ukiona kitu chochote kinapingwa sana ujue kuna walakini.kuna tatizo kwenye hii tunzo bora germany wametukomboa na kelele
 


You Killed it Mkuu! Sijui kwa nini watu wana chuki na huyu dogo, eti ali-flop! Kweli chuki inawafanya ma-hater kuwa vipofu. Kabla ya World Cup walidai oh, Messi haisaidii timu yake ya taifa, leo kaifikisha fainali akifunga magoli manne muhimu pamoja na takwimu nyingine ulizozitaja hapo juu bado watu wana-question uwezo wake, watakuja kufa na stress. Mimi nilidhani sasa watu walitakiwa ku-question uwezo wa Cristiano Ronaldo baada ya kushindwa kuibeba timu yake ya taifa wakati ndiye mchezaji bora wa dunia kwa sasa.
 
You Killed it Mkuu! Sijui kwa nini watu wana chuki na huyu dogo, eti ali-flop! Kweli chuki inawafanya ma-hater kuwa vipofu. Kabla ya World Cup walidai oh, Messi haisaidii timu yake ya taifa, leo kaifikisha fainali akifunga magoli manne muhimu pamoja na takwimu nyingine ulizozitaja hapo juu bado watu wana-question uwezo wake, watakuja kufa na stress. Mimi nilidhani sasa watu walitakiwa ku-question uwezo wa Cristiano Ronaldo baada ya kushindwa kuibeba timu yake ya taifa wakati ndiye mchezaji bora wa dunia kwa sasa.

Zamani wakati ushabiki wa mpira uipokuwa wa kweli hakukuwa na chuki kwa wachezaji. Sasa hivi watu wanashabikia soka kwa kuwa wamebet, wengine kwa kuwa ni fasheni ndio maana mambo kama haya hayaishi...
FIFA, timu za kisasa na taasisi zingine za soka zina namna ya kupima mchezaji kulingana na utendaji wake uwanjani.
Index ya FIFA kwa kombe la dunia inaonesha kuwa Toni Kroos ndiye aliyefanya vizuri kwa alama 9.5, wanaopinga tuzo ya Messi wangekuja kwa kigezo hiki walau ningewaelewa lakini sio kutaja wanaowataka wao wawe bora.
Mwingine anasema hata Maradona hakubaliani na hili, wakasahau kuwa Diego ni muathirika wa unga na mara nyingi ametoa kauli za utata, lakini yote tisa ana haki ya kutoa maoni kama wengine.
 
ukiona kitu chochote kinapingwa sana ujue kuna walakini.kuna tatizo kwenye hii tunzo bora germany wametukomboa na kelele

Walakini upo kwa wanaokosoa, kuna mtu alisai eti LM10 hakustahili kabisa, yaani hata kwenye anaoikaribia hakutakiwa kuwepo.

Hizi hapa takwimu zake kutoka katika tovuti ya FIFA, hembu leta za hao wengine tulinganishe.


Screenshot from 2014-07-17 09:48:13.png
 
Zamani wakati ushabiki wa mpira uipokuwa wa kweli hakukuwa na chuki kwa wachezaji. Sasa hivi watu wanashabikia soka kwa kuwa wamebet, wengine kwa kuwa ni fasheni ndio maana mambo kama haya hayaishi...
FIFA, timu za kisasa na taasisi zingine za soka zina namna ya kupima mchezaji kulingana na utendaji wake uwanjani.
Index ya FIFA kwa kombe la dunia inaonesha kuwa Toni Kroos ndiye aliyefanya vizuri kwa alama 9.5, wanaopinga tuzo ya Messi wangekuja kwa kigezo hiki walau ningewaelewa lakini sio kutaja wanaowataka wao wawe bora.
Mwingine anasema hata Maradona hakubaliani na hili, wakasahau kuwa Diego ni muathirika wa unga na mara nyingi ametoa kauli za utata, lakini yote tisa ana haki ya kutoa maoni kama wengine.
na blatter aliyeshangaa tuzo ya messi nae anatumia unga?!" .............
 
Kwa haraka haraka niwaambie kwamba messi ndo mchezaji aliye dribble sana mpira mara nyingi kuliko mchezaji yoyote w.cup, messi ndo alichungwa sana na kuwekewa mipango mingi kabla ya mechi karibu zote , timu kama uholanzi walimuwekea beki 6 (kocha wao ndo alisema hili). Germany walimzunguka sana kila sehem , belgium ndo usisema , na hiki ndo kiliwapeleka argentina final baada ya tim nyingi kuogopa kuwashambulia na kukaa wanamchunga messi , ndo maana netheland walishindwa kufunga wakalazimishwa kwenda penalt wakatolewa (kwa woga hio huo wa kudefend kisa messi), bado siku hiyo messi aka lead wenzake kwa penalt nzuri ya kwanza ambayo huwa inawa frustrate opponents .. bado kapiga goli nne .. kama uliangalia final utagundua pasi zake zingetumiwa vizuri argetmina wangeshinda in 90 min .. messi is the best , numbers never lie . Robben ana mambo mengi mara a dive mara afanyenje hawez kuwa bora , ubora una vitu vingi !
 
Kwa haraka haraka niwaambie kwamba messi ndo mchezaji aliye dribble sana mpira mara nyingi kuliko mchezaji yoyote w.cup, messi ndo alichungwa sana na kuwekewa mipango mingi kabla ya mechi karibu zote , timu kama uholanzi walimuwekea beki 6 (kocha wao ndo alisema hili). Germany walimzunguka sana kila sehem , belgium ndo usisema , na hiki ndo kiliwapeleka argentina final baada ya tim nyingi kuogopa kuwashambulia na kukaa wanamchunga messi , ndo maana netheland walishindwa kufunga wakalazimishwa kwenda penalt wakatolewa (kwa woga hio huo wa kudefend kisa messi), bado siku hiyo messi aka lead wenzake kwa penalt nzuri ya kwanza ambayo huwa inawa frustrate opponents .. bado kapiga goli nne .. kama uliangalia final utagundua pasi zake zingetumiwa vizuri argetmina wangeshinda in 90 min .. messi is the best , numbers never lie . Robben ana mambo mengi mara a dive mara afanyenje hawez kuwa bora , ubora una vitu vingi !
final alimlinda nani? zaidi wao agrentina ndio walipaki basi!" .......... agrentina wamefika final kw mbinu zao za kuweka mabeki watano ila si kw juhudi za andunje, ukisema mascherano au zabaleta ndio waliifikisha agrentina final hapo nitakuelewa ila si huyo Andunje.
 
final alimlinda nani? zaidi wao agrentina ndio walipaki basi!" .......... agrentina wamefika final kw mbinu zao za kuweka mabeki watano ila si kw juhudi za andunje, ukisema mascherano au zabaleta ndio waliifikisha agrentina final hapo nitakuelewa ila si huyo Andunje.

haters haters... messi yuko first class hawezi kuwaona walio second class.. he is a genius "angalia statistics kama hukuona mechi" !
 
haters haters... messi yuko first class hawezi kuwaona walio second class.. he is a genius "angalia statistics kama hukuona mechi" !

mi cyo hater!" binafsi namkubali sana messi, jamaa anajua, ila kw hii WC kiukweli hakustahili kuwa mchezaji bora, wamembeba tu ........... thnx 2 adidas.
 
mi cyo hater!" binafsi namkubali sana messi, jamaa anajua, ila kw hii WC kiukweli hakustahili kuwa mchezaji bora, wamembeba tu ........... thnx 2 adidas.

HII NI COPY AND PASTE FROM ESPN LABDA WE PIA NI MMOJAWAPO WALIODHANI HIVYO,mpira haupendelei siku hizi kuna technology na sio suala la mapenzi ya mtu .ila,,,, soma chini hapa..

The FIFA decision to award him with the Golden Ball award minutes after the defeat to Germany was quickly criticised by experts around the world who rushed to justify other names as the player of the tournament.
Next came the statistics and opinions that show that Messi did indeed have a great World Cup. Whether or not he deserved a pointless individual award he himself described as "of no interest" can be argued by those who care -- what matters now is which Messi will come back to Barcelona after that final defeat.
Just for the record, though, those stats showed Messi was the player who created the most chances and had the most successful dribbles, according to the experts at Opta. Together with his four goals and man of the match awards, it was not a bad tournament for someone so criticised.
 
Back
Top Bottom