Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

Wenye akili tunajua vizuri kuwa kwa hiyo Tuzo nayo ni fitna tu kumpa huyo Messi hana chochote zaidi kuna wachezaji wengi wazuri ila siyo huyo anayeweka kwasababu ya Fifa.

Further speculations was triggered when it emerged that for the first time Golden Ball award was decided by FIFA's Technical Committee rather than by media vote
 
Messi amestahili tuzo hata kama wasingefika fainali.

Kwa tunaojua na kuufatilia kwa karibu mpira twaelewa kwanini amestahili.
 
Teh, Si ndio maana akasema anti mess. Au thredi imekua ngumu kusomwa. Dalili za kuvurugWa......

Sio lazm nshadadie vyote.pale pNPo nhusu.co nampenda messi but am also a fun of man U.akl kumkchwa
 
fIfa na akina blatter wapo obssessed na messi sana..this is too much..ameunderperform lakini wana mbeba tu..mtu hajaweza kufunga kwenye gemu ngumu hata moja

kaka sio lazima afunge angalia mchango wke ktk timu,umeangalia mechi za argntina kwel? Asingekuwa yy hyo timu isingefika hapo! Na sio yy 2 angalia hata uruguay ambapo suarez hakucheza na ambapo alicheza.
Frenkly speaking waliokuwa wana stahili hyo 2zo ni mess na robben bt ukiangalia rubn hakufika fainal.so ni sahihi kabisa kumpa mess
 
:third:
Nashukuru Dua yangu imepokelewa ya German kuwa Bingwa maana sifa imeenda kwa Timu mzima,wangebeba Argentina sifa angepewa Messi kama anacheza pekee

Mkuu usemacho kimejaa ukweli mtupu yaani ingeshinda naniliu sijui mbilikimo yaani hata michango yao hapa team Argentina ni povu tu na Messi wao:A S wink:
 
Sasa fifa ndo wamemuon yeye na ndo wamempa.ur complaints cnt change any thing wabongo.hata ktk raman ya kombe hampo.lawama tyuuuuu

Hebu waambie yani sie tunajua mpira wa maandishi kama hivi.Watu wanalalamika mara messi kawa hivi mara vile lakini mwambie aende uwanjani mhhhh???
 
Hivi andunje kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, roben au hata huyo James Rodrigez ......... Kama kuibeba timu Di maria ndio alikua anaibeba timu.

FIFA wamezidi upendeleo!


Di maria aliumia wakiwa robo wameenda mpaka fainali angeumia Mess wasingefika huko. Kuna vigezo vingi wanavyotumia vikiwemo magoli aliyofunga, assist alizotoa, pass accuracy na nidhamu uwanjani. Ruben mpaka aache kujiangusha ndo anaweza kufikiriwa.
 
sema wewe ni vigezo gani vimetumika...hata iweje hawezi kufikia level za akina pele na maradona...eti mess ni zaidi ya maradona hahahha kombe la dunia hawezi kulishika mpaka mwisho wa uhai wake....best player for me is muller.

Kumbe ni chuki ndio zinakuongoza,basi tufanye mchezaji bora Cristiano Ronardo
 
Mtaongea weeee lakini mesi ndio kashakuwa mchezaji bora ss.subirini 2018 labda mnaemtaka atapewa.
 
sema wewe ni vigezo gani vimetumika...hata iweje hawezi kufikia level za akina pele na maradona...eti mess ni zaidi ya maradona hahahha kombe la dunia hawezi kulishika mpaka mwisho wa uhai wake....best player for me is muller.
kwa jinsi ambavyo umejibu unaonesha kabisa humpendi messi kwa hiyo hata hivyo vigezo wakikutajia still utaendelea kudhani hivyo unavyodhani na hata messi akifanya zuri gani kwako litakuwa baya kwa sababu humpendi.
 
nikusaidie tu, baadhi ya vigezo vilivyotumika, ni idadi ya magoli ya kufunga, na idadi ya pasi alizotoa kusaidia goli kufunguwa, idadi ya pasi sahihi alizotoa, n.k

Kwa vigezo hivi Messi ALISTAHILI sana kuwa mchezaji bora wa mashindano. Mfungaji bora aweza kuwa mwingine ila mchezaji bora ni Messi.
 
Tatzo mleta mada hujui hata lolote unaloongea basi messi hakufaa kupewa tunzo toa sababu, haya akina muller walifaaa kupewa toa sababu pia? Kwa taarifa yako messi kawa man of the match mara nne mfululizo kati ya mechi saba alizocheza na pia kapiga basi hai nyingi kuliko hao unaowasema hapa!!
 
Di maria aliumia wakiwa robo wameenda mpaka fainali angeumia Mess wasingefika huko. Kuna vigezo vingi wanavyotumia vikiwemo magoli aliyofunga, assist alizotoa, pass accuracy na nidhamu uwanjani. Ruben mpaka aache kujiangusha ndo anaweza kufikiriwa.

ingekua nimbebaji timu wasingeingia final kw matuta. jana kwnye final messi alikua beki. labda wangempa beki bora w final.
 
Sijui ni chuki binafsi or nn watu wanalalamika sana na hamuwezi kubadilisha lolote
Hongera zake Messi
 
Back
Top Bottom